Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 798
- 541
Habarini humu,
Nimejaribu kutafuta kama kuna jukwaa la afya ila nimekosa/sijaliona so nikaona si vibaya kwakua humu kuna doctors basi mnaweza kunipa ushauri mzuri zaidi kuhusu lishe, ndio namaanisha ''unga wa lishe kwa mtoto au hata mtu mzima.
Je kuna ubaya/faida gani kwa kuongeza unga wa lishe kwa kuweka dagaa/samaki na ndizi kwa kusaga pamoja kwaajili ya afya ya mtoto?
Namaanisha kwa mseto huu, mahindi+soya+karanga+ulezi+ndizi+dagaa/samaki je kuna faida kwa mtoto kuliko liishe asili ''ambayo tumeizoea'' i mean unga wa ulezi.
Na je kuna madhara yeyote kwa kuanza kumpa mtoto mdogo mlo huo hapo niliotaja hapo juu?
Na je ipi ni faida kiafya ambayo mtoto atapata kwa kula mlo tajwa hapo juu?
Natanguliza shukrani zangu kwenu doctors, pia naomba wale doctors wa afya ya mama na mtoto ndio mngenifafanulia zaidi kuhusu huu mlo ili nijue kama naweza pata faida zaidi ya kumpa mtoto cerelaki.
Nimejaribu kutafuta kama kuna jukwaa la afya ila nimekosa/sijaliona so nikaona si vibaya kwakua humu kuna doctors basi mnaweza kunipa ushauri mzuri zaidi kuhusu lishe, ndio namaanisha ''unga wa lishe kwa mtoto au hata mtu mzima.
Je kuna ubaya/faida gani kwa kuongeza unga wa lishe kwa kuweka dagaa/samaki na ndizi kwa kusaga pamoja kwaajili ya afya ya mtoto?
Namaanisha kwa mseto huu, mahindi+soya+karanga+ulezi+ndizi+dagaa/samaki je kuna faida kwa mtoto kuliko liishe asili ''ambayo tumeizoea'' i mean unga wa ulezi.
Na je kuna madhara yeyote kwa kuanza kumpa mtoto mdogo mlo huo hapo niliotaja hapo juu?
Na je ipi ni faida kiafya ambayo mtoto atapata kwa kula mlo tajwa hapo juu?
Natanguliza shukrani zangu kwenu doctors, pia naomba wale doctors wa afya ya mama na mtoto ndio mngenifafanulia zaidi kuhusu huu mlo ili nijue kama naweza pata faida zaidi ya kumpa mtoto cerelaki.