Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Wajuzi wa mambo naomba kupata ufahamu kidogo, kutokana na suala la lifti kuporomoka Millennium Towers nimeona baadhi ya wadau wakisema lift ikizidisha uzito haifungi wengine wakidai inatoa maelekezo kuwa watu wamezidi na kuwataka kupungua.
Je, ni kweli wanaodai hivyo wako sawa? Na kama wako sawa sababu iliyotajwa ya kuporokwa kwa kuzidisha uzito si sababu sahihi kwa hiyo kuna sababu ambayo haijatajwa? Kamba ndivyo aliyetoa sababu amekurupuka au kuna jambo linafichwa ili kusiwepo kuwajibika kutokana na jambo hilo?
Wajuzi na wataalamu na wenye uzoefu na matumizi ya lifti naomba mtufungue macho ili watu waweze kupata uwanja wa kuhoni zaidi juu ya jambo hili.
Pia soma: Lift ya Jengo la Millennium Towers yaanguka ikiwa na watu, kuzidisha idadi ya Watu yatajwa kuwa chanzo
Je, ni kweli wanaodai hivyo wako sawa? Na kama wako sawa sababu iliyotajwa ya kuporokwa kwa kuzidisha uzito si sababu sahihi kwa hiyo kuna sababu ambayo haijatajwa? Kamba ndivyo aliyetoa sababu amekurupuka au kuna jambo linafichwa ili kusiwepo kuwajibika kutokana na jambo hilo?
Wajuzi na wataalamu na wenye uzoefu na matumizi ya lifti naomba mtufungue macho ili watu waweze kupata uwanja wa kuhoni zaidi juu ya jambo hili.
Pia soma: Lift ya Jengo la Millennium Towers yaanguka ikiwa na watu, kuzidisha idadi ya Watu yatajwa kuwa chanzo