Je, Lugha inayotumikwa kwenye hii video ni Kiswahili cha wapi, au ni lugha gani hii?

Je, Lugha inayotumikwa kwenye hii video ni Kiswahili cha wapi, au ni lugha gani hii?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili yanaeleweka, lakini mengine ni mfanano na mengine ni kama kilugha, ni lugha ya wapi hii hapa bongo?

 
Mayotte Comoro. Kutokana ma maelezo ya mmoja wa walioiangalia na kutoa maelezo yake.
 
Wangazija wanakiswahili chao, wazanzibari wanakiswahili chao, wamombasa wanakiswahili chao, Kongo wanakiswahili chao na msumbiji pia, tatizo ni sisi kulazimisha kuwa ndio waanzilishi wa lugha ya kiswahili wakati siyo kweli.
 
Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili yanaeleweka, lakini mengine ni mfanano na mengine ni kama kilugha, ni lugha ya wapi hii hapa bongo?


Kiswahili. Comoros hasa kisiwa cha Mwali.. wanaongea kiswahili sana tu.
 

Attachments

  • sketch-1611989630890.png
    sketch-1611989630890.png
    110.2 KB · Views: 5
Wangazija wanakiswahili chao, wazanzibari wanakiswahili chao, wamombasa wanakiswahili chao, Kongo wanakiswahili chao na msumbiji pia, tatizo ni sisi kulazimisha kuwa ndio waanzilishi wa lugha ya kiswahili wakati siyo kweli.
Unasemaje wewe? Hivi hicho anachoimba utasema ni kiswahili? Seriously?
 
Back
Top Bottom