Je, Lugha ya kuelekeza mapishi ni lazima iwe hivi?

Je, Lugha ya kuelekeza mapishi ni lazima iwe hivi?

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,265
Huwa nasikiliza sana vipindi vya mapishi kwenye tv na redio. Kinachonishangaza ni wingi wa matumizi ya maneno ya kumiliki (possessives) eg yangu, yako yetu etc . Mathlani mpishi atasema hivi kuhusu namna ya kuandaa samaki:Unamchukua samaki wako unampaa vizuri kisha unamwanika mpaka akauke. Akikauka chukua mafuta yako uyaweke kwenye kikaangio chako. kisha weka jikoni.................
Kwa mawazo yangu nilifikiri haya maelekezo yangekuwa bora zaidi kama hayo maneno niliyobold yangeondolewa.
Mwasemaje wataalamu wa kiswahili?
 
ngoja waje mi naona sawa tu. wanarejea ukiwa unajiandalia wewe.
 
Back
Top Bottom