Kuna vigezo na masharti, je umesoma? Kwa ninavyoelewa ni kwamba hizo mechi za akiba zinahesabika endapo ndani ya zile 12 za kwanza kuna mechi ziko postponed, cancelled n.k.Kama hazipo kwenye hesabu kwanini ziwekwe sasa
uwe unasoma maelezo kwanza kabla ya kuwashutumu watu mtandaoni, unaanzaje kucheza bila kusoma maelezo!!!Kama hazipo kwenye hesabu kwanini ziwekwe sasa
Twende polepole Umepata hizo jumla kumi toka kwenye 12 au umepata hio 10 toka kwenye 17; Yaani na zile extra games in case of postponement ?Hapana sijawapigia, nilizopata 7 walizoniibia 3 jumla mech 10,tick