Je M-pesa za Kenya & Tanzania zinaweza kutumiana pesa?

Joined
Jun 21, 2016
Posts
19
Reaction score
37
Naomba kufahamishwa please!
Je,M-PESA YA KENYA inaendana na M-PESA ya Tanzania?
je naweza mtumia fedha mtu aliye Kenya au yeye anaweza kunitumia mimi?
 
Naomba kufahamishwa please!
Je,M-PESA YA KENYA inaendana na M-PESA ya Tanzania?
je naweza mtumia fedha mtu aliye Kenya au yeye anaweza kunitumia mimi?
Ndio unaweza . Nenda kwa wakala atakuelekeza jinsi ya kufanya
 
Ndio unaweza . Nenda kwa wakala atakuelekeza jinsi ya kufanya
Wala haihitaji kwenda kwa Wakala, kupitia Menu ya M Pesa ataona Maelezo ya namna ya kutuma au kupokea pesa international..
 
Mpaka tarehe 30 June 2016 uliweza kufanya hivyo.
Sijui kama ita endelea hivyo kufuatia Bajeti mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…