Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Tupe tips mkuuNi salama
Uke una mafuta?Sio Salama
Mafuta Salama ni mafuta ya uke wenyewe
Waulize wanawake, ulikua hujui ule ute ute una maji?Uke una mafuta?
Yananuka kishenzi,Kwani ni aina gani ya mafuta yaliyoko kwenye kondomu.
Namna ni kupima mkuuNdiyo maana condom hatuzitaki...yaan full miwasho....sema ndo hakuna namna Mkuu😪
Nimeuliza, uke una mafuta?Waulize wanawake, ulikua hujui ule ute ute una maji?
We piga kavu kavu Mwakani tukutane CTCPeleni wakubwa zangu kwa majukumu.
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu sasa kuhusu usalama wa kiafya wa yale mafuta ya kondomu.
Watalam wanawaasa watu (wanawake) wasiingize kitu chochote katika uke wakati wa kujisafisha,mfano: Sabuni,mafuta nk.
Je vipi kuhusu yale mafuta ya kondomu wakati wakujamiiana huingia katika uke hadi kwenye mlango wa uzazi vipi kuna usalama hapo au kuna shida?
Naomba kuwasilisha,ila kama kuna wadau wenye majibu sahihi waliyofanyia utafiti yakinifu basi wasisite kunisaidia[emoji120]
Nmeshajibu hilo swali usiulize Mara 100 au unataka nikuletee references?Nimeuliza, uke una mafuta?
Sijauliza kuhusu maji.
Condoms mafuta zinaleta fungus,We piga kavu kavu Mwakani tukutane CTC
Kupima nini mafuta ya Condom?Namna ni kupima mkuu
Pimeni afya mdinyane kavukavuKupima nini mafuta ya Condom?