1Nimekua mshabiki sana wa kula karanga mbichi sikuhizi, Ila nimekua nikizibwia pamoja na maganda yake mana kuzichambua zinakua zinaleta shida.
Je maganda yake hayana madhara yoyote kiafya ?
Una upungufu wa madini mwilini
Unaungumzia maganda yapi? Haya yenye rangi ya damu ya mzee yaliyo kwenye mbegu za karanga au yale ya nje yenye rangi ya kaki wanayopewa wanyama?Nimekua mshabiki sana wa kula karanga mbichi sikuhizi, Ila nimekua nikizibwia pamoja na maganda yake mana kuzichambua zinakua zinaleta shida.
Je maganda yake hayana madhara yoyote kiafya ?
Unaungumzia maganda yapi? Haya yenye rangi ya damu ya mzee yaliyo kwenye mbegu za karanga au yale ya nje yenye rangi ya kaki wanayopewa wanyama?
Haina madhara yoyote. Infact kuna research zinasema kuwa kuna faida ndogo ya ziada inapatikana kwa kula hiyo ngozi.Nazungumzia ya ndani, yaliyo kwenye mbegu.
Haina madhara yoyote. Infact kuna research zinasema kuwa kuna faida ndogo ya ziada inapatikana kwa kula hiyo ngozi.