Basi tafuta Wazaramo wenzako ama Wakwere wakawe maIncharge wa Idara hiyo hapa Tanzania.nimekuwa nikisoma mara nyingi sana kwamba ofisi kama TRA wamejazana wachaga,TBC wanyakyusa etc.sasa nawauliza wandugu mnajua sehemu kubwa ya judiciary imeshikwa na wahaya?
Robo tatu ya maicharge wa wilaya ni wahaya wengine hata hajakaa kazini miaka mitatu wanapewa vyeo tena vikubwa,nawakilisha
Kuna wakati Arusha Hakimu mkuu alikuwa Mhaya na mwendesha mashitaka alikuwa mhaya na wote walisoma darasa moja sekondari na chuo kikuu ,ikawa taabu hapo Arusha watu wakalalamika mwishowe wakatenganisha ,hakimu akaja kuwa afisa mkubwa kwenye mahakama ,hata huko nasikia akaanza kujiwekea kamtandao ka watu kutoka mkoani mwake,hii ndio bongo kila mtu na kamhogo kakenimekuwa nikisoma mara nyingi sana kwamba ofisi kama TRA wamejazana wachaga,TBC wanyakyusa etc.sasa nawauliza wandugu mnajua sehemu kubwa ya judiciary imeshikwa na wahaya?Robo tatu ya maicharge wa wilaya ni wahaya wengine hata hajakaa kazini miaka mitatu wanapewa vyeo tena vikubwa,nawakilisha
@ beware remember '' No reserch no right to speak'' kama umefanya utafiti ukayaona haya basi kesho utaanza kufuatilia hata dini!!
nimekuwa nikisoma mara nyingi sana kwamba ofisi kama TRA wamejazana wachaga,TBC wanyakyusa etc.sasa nawauliza wandugu mnajua sehemu kubwa ya judiciary imeshikwa na wahaya?Robo tatu ya maicharge wa wilaya ni wahaya wengine hata hajakaa kazini miaka mitatu wanapewa vyeo tena vikubwa,nawakilisha