Je, Majeshi ya kukodi au Mercenaries ya Afrika Kusini na nchi rafiki, yamehusika na utekaji wa Mohamed Dewji?

Je, Majeshi ya kukodi au Mercenaries ya Afrika Kusini na nchi rafiki, yamehusika na utekaji wa Mohamed Dewji?

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Huenda majeshi ya kukodi au "mercenaries" kutoka ama nchi za Afrika Kusini, Angola, Msumbiji na hata Congo DRC yanaweza kuwa yamehusika na utekaji wa mfanyabiasha maarufu Mohamed Dewji.

Vikosi vya majeshi hayo yanaweza kuwa ni sehemu ya wanajeshi wa zamani wa jeshi la ulinzi la Afrika Kusini SANDF, wanajeshi wa zamani wa majeshi ya waasi wa nchi za Angola UNITA, Msumbii au Congo DRC.

Lakini kwa mujibu wa Mohamed Dewji mwenyewe watekaji hao walikuwa wakitumia moja ya lugha za nchi hiyo ya Afrika Kusini na walipomteka aliweza kuona ngozi zao kuwa ni nyeupe, hivyo kuweka uwezekano mkubwa kwamba hawa majeshi ya kukodi au mercenarie yanaweza kabisa kuwa ni wale wanajeshi wa zamani wa SANDF.

Majeshi ya kukodi au mervcenaries yapo mengi barani Afrika na huwa wanajihusisha na shughuli kama za ulinzi wa wafanyabiashara wakubwa wa madini, makampuni ya uchumbaji madini na hata kukodiwa kufanya utekaji kitendo kijulikanancho kama "a gun for hire for highest bidder".

Vikosi hivyo huuza ujuzi wao au expertise kwa mtu yoyote anaoehitaji lakini tu yule mwenye dau kubwa.

Pia vikosi hivi vya majeshi ya kukodiwa au mercenaries huwezi kushiriki kwtika kufanya mapinduzi ndani ya nchi kwa kuwasaidia baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

Baadhi ya majina ya vikosi hivi khasa kutoka Afrika Kusini ni pamoja na Sharp End International, GK Siera Unity Resources Group, Sandline International na kadhalika.

Kukutwa kwa silaha mbalimbali ndani ya gari ilotumika kumtupa MO pale Gymkhana ni ishara tosha kwamba Tanzania sasa tunaweza kuwa na majeshi ya kukodi ambayo yanaingia na kutoka nchini.

Vikosi hivyo vinaweza kabisa kuingia nchini kupitia usafiri wa ndege, maasi au malori ya kwenda nchi jirani hivyo kuwa nijambo la kwaida tu pale anapokusalimi kwa Kiswahili kibovu kama cha "jambo" na ofisi wa uhamiaji akachekacjeka na kugonga mhuri wa kuingia kwenye pasi zao za kusafiria.

NI jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinafuatilia suala la utekaji wa Mo Dewji na uhakikisha wanapata taarifa zote muhimu kwa usalama wa nchi yetu.

Ni jambo la kutafakari.
 
Huenda majeshi ya kukodi au "mercenaries" kutoka ama nchi za Afrika Kusini, Angola, Msumbiji na hata Congo DRC yanaweza kuwa yamehusika na utekaji wa mfanyabiasha maarufu Mohamed Dewji.

Vikosi vya majeshi hayo yanaweza kuwa ni sehemu ya wanajeshi wa zamani wa jeshi la ulinzi la Afrika Kusini SANDF, wanajeshi wa zamani wa majeshi ya waasi wa nchi za Angola UNITA, Msumbii au Congo DRC.

Lakini kwa mujibu wa Mohamed Dewji mwenyewe watekaji hao walikuwa wakitumia moja ya lugha za nchi hiyo ya Afrika Kusini na walipomteka aliweza kuona ngozi zao kuwa ni nyeupe, hivyo kuweka uwezekano mkubwa kwamba hawa majeshi ya kukodi au mercenarie yanaweza kabisa kuwa ni wale wanajeshi wa zamani wa SANDF.

Majeshi ya kukodi au mervcenaries yapo mengi barani Afrika na huwa wanajihusisha na shughuli kama za ulinzi wa wafanyabiashara wakubwa wa madini, makampuni ya uchumbaji madini na hata kukodiwa kufanya utekaji kitendo kijulikanancho kama "a gun for hire for highest bidder".

Vikosi hivyo huuza ujuzi wao au expertise kwa mtu yoyote anaoehitaji lakini tu yule mwenye dau kubwa.

Pia vikosi hivi vya majeshi ya kukodiwa au mercenaries huwezi kushiriki kwtika kufanya mapinduzi ndani ya nchi kwa kuwasaidia baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

Baadhi ya majina ya vikosi hivi khasa kutoka Afrika Kusini ni pamoja na Sharp End International, GK Siera Unity Resources Group, Sandline International na kadhalika.

Kukutwa kwa silaha mbalimbali ndani ya gari ilotumika kumtupa MO pale Gymkhana ni ishara tosha kwamba Tanzania sasa tunaweza kuwa na majeshi ya kukodi ambayo yanaingia na kutoka nchini.

Vikosi hivyo vinaweza kabisa kuingia nchini kupitia usafiri wa ndege, maasi au malori ya kwenda nchi jirani hivyo kuwa nijambo la kwaida tu pale anapokusalimi kwa Kiswahili kibovu kama cha "jambo" na ofisi wa uhamiaji akachekacjeka na kugonga mhuri wa kuingia kwenye pasi zao za kusafiria.

NI jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinafuatilia suala la utekaji wa Mo Dewji na uhakikisha wanapata taarifa zote muhimu kwa usalama wa nchi yetu.

Ni jambo la kutafakari.
Ndio maana hujapata comment hata moja tuu wala lky zaid ya hio ulivyoji like mwenyewe manake pale unapotaka kuwaamnisha watu kitu kma hiki
 
Ndio maana hujapata comment hata moja tuu wala lky zaid ya hio ulivyoji like mwenyewe manake pale unapotaka kuwaamnisha watu kitu kma hiki

Mkuu, fafanua kidogo sijakuelewa.

🙂🙂
 
Huenda majeshi ya kukodi au "mercenaries" kutoka ama nchi za Afrika Kusini, Angola, Msumbiji na hata Congo DRC yanaweza kuwa yamehusika na utekaji wa mfanyabiasha maarufu Mohamed Dewji.

Vikosi vya majeshi hayo yanaweza kuwa ni sehemu ya wanajeshi wa zamani wa jeshi la ulinzi la Afrika Kusini SANDF, wanajeshi wa zamani wa majeshi ya waasi wa nchi za Angola UNITA, Msumbii au Congo DRC.

Lakini kwa mujibu wa Mohamed Dewji mwenyewe watekaji hao walikuwa wakitumia moja ya lugha za nchi hiyo ya Afrika Kusini na walipomteka aliweza kuona ngozi zao kuwa ni nyeupe, hivyo kuweka uwezekano mkubwa kwamba hawa majeshi ya kukodi au mercenarie yanaweza kabisa kuwa ni wale wanajeshi wa zamani wa SANDF.

Majeshi ya kukodi au mervcenaries yapo mengi barani Afrika na huwa wanajihusisha na shughuli kama za ulinzi wa wafanyabiashara wakubwa wa madini, makampuni ya uchumbaji madini na hata kukodiwa kufanya utekaji kitendo kijulikanancho kama "a gun for hire for highest bidder".

Vikosi hivyo huuza ujuzi wao au expertise kwa mtu yoyote anaoehitaji lakini tu yule mwenye dau kubwa.

Pia vikosi hivi vya majeshi ya kukodiwa au mercenaries huwezi kushiriki kwtika kufanya mapinduzi ndani ya nchi kwa kuwasaidia baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

Baadhi ya majina ya vikosi hivi khasa kutoka Afrika Kusini ni pamoja na Sharp End International, GK Siera Unity Resources Group, Sandline International na kadhalika.

Kukutwa kwa silaha mbalimbali ndani ya gari ilotumika kumtupa MO pale Gymkhana ni ishara tosha kwamba Tanzania sasa tunaweza kuwa na majeshi ya kukodi ambayo yanaingia na kutoka nchini.

Vikosi hivyo vinaweza kabisa kuingia nchini kupitia usafiri wa ndege, maasi au malori ya kwenda nchi jirani hivyo kuwa nijambo la kwaida tu pale anapokusalimi kwa Kiswahili kibovu kama cha "jambo" na ofisi wa uhamiaji akachekacjeka na kugonga mhuri wa kuingia kwenye pasi zao za kusafiria.

NI jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinafuatilia suala la utekaji wa Mo Dewji na uhakikisha wanapata taarifa zote muhimu kwa usalama wa nchi yetu.

Ni jambo la kutafakari.
Hizi propaganda zenu za kishamba zinailetea Tanzania attention ya kipumbavu isiyokuwa ya lazima.

Kwanini kuwa-antagonise hao watu? Nafikiri wakati wa CCM kupambana na watu halisi wasiojulikana umekaribia sana.

Hizi chokochoko sio nzuri
 
ukijiuliza haya unaweza kuja na majibu ya haraka haraka
Je mkuu alitekwa na nani?
alitekwa kwa ajili ya issue ipi?
je wamepata walichokitaka?
kwanini amepatikana?
kwanini watelekeze gari peupe?
tujiulize pamoja alafu tunaweza pata majibu ila tukiaminishwa na wale wanaobweka tuu tutakuwa na uelewa mdogo lazima tujiulize wenyewe na tutumie mbinu nyingi kujiridhisha katika haya, si kisa umemsikia flani akiongea nawe unaitikia pasipo kufikirisha kichwa chako,
 
Huenda majeshi ya kukodi au "mercenaries" kutoka ama nchi za Afrika Kusini, Angola, Msumbiji na hata Congo DRC yanaweza kuwa yamehusika na utekaji wa mfanyabiasha maarufu Mohamed Dewji.

Vikosi vya majeshi hayo yanaweza kuwa ni sehemu ya wanajeshi wa zamani wa jeshi la ulinzi la Afrika Kusini SANDF, wanajeshi wa zamani wa majeshi ya waasi wa nchi za Angola UNITA, Msumbii au Congo DRC.

Lakini kwa mujibu wa Mohamed Dewji mwenyewe watekaji hao walikuwa wakitumia moja ya lugha za nchi hiyo ya Afrika Kusini na walipomteka aliweza kuona ngozi zao kuwa ni nyeupe, hivyo kuweka uwezekano mkubwa kwamba hawa majeshi ya kukodi au mercenarie yanaweza kabisa kuwa ni wale wanajeshi wa zamani wa SANDF.

Majeshi ya kukodi au mervcenaries yapo mengi barani Afrika na huwa wanajihusisha na shughuli kama za ulinzi wa wafanyabiashara wakubwa wa madini, makampuni ya uchumbaji madini na hata kukodiwa kufanya utekaji kitendo kijulikanancho kama "a gun for hire for highest bidder".

Vikosi hivyo huuza ujuzi wao au expertise kwa mtu yoyote anaoehitaji lakini tu yule mwenye dau kubwa.

Pia vikosi hivi vya majeshi ya kukodiwa au mercenaries huwezi kushiriki kwtika kufanya mapinduzi ndani ya nchi kwa kuwasaidia baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

Baadhi ya majina ya vikosi hivi khasa kutoka Afrika Kusini ni pamoja na Sharp End International, GK Siera Unity Resources Group, Sandline International na kadhalika.

Kukutwa kwa silaha mbalimbali ndani ya gari ilotumika kumtupa MO pale Gymkhana ni ishara tosha kwamba Tanzania sasa tunaweza kuwa na majeshi ya kukodi ambayo yanaingia na kutoka nchini.

Vikosi hivyo vinaweza kabisa kuingia nchini kupitia usafiri wa ndege, maasi au malori ya kwenda nchi jirani hivyo kuwa nijambo la kwaida tu pale anapokusalimi kwa Kiswahili kibovu kama cha "jambo" na ofisi wa uhamiaji akachekacjeka na kugonga mhuri wa kuingia kwenye pasi zao za kusafiria.

NI jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinafuatilia suala la utekaji wa Mo Dewji na uhakikisha wanapata taarifa zote muhimu kwa usalama wa nchi yetu.

Ni jambo la kutafakari.
asante kwa hii riwaya yako ndugu lakini Watanzania wa sasa are too clever to buy it. sorry mister.

binafsi, baada ya kusikia kauli na vitendo vya polisi kwa upande mmoja na familia ya MO kwa upande mwengine, halafu nilipochanganya na za kwangu nimegundua kumbe ni wadau wa CCM wao kwa wao wanapigana mikwara baada ya kuanza kunyimana walivyoshirikiana kutupora Watanzania.
 
Mnataka kupindua shilling wazee wa kazi ..hebu fanyeni kazi za msingi acheni kupoteza muda
 
Policcm wameweza kulitambua gari lilillopita mipakani lakini hawakuweza kuwajua walio liingiza,umeelewa nn hapo mtoa mada?
 
Huenda majeshi ya kukodi au "mercenaries" kutoka ama nchi za Afrika Kusini, Angola, Msumbiji na hata Congo DRC yanaweza kuwa yamehusika na utekaji wa mfanyabiasha maarufu Mohamed Dewji.

Vikosi vya majeshi hayo yanaweza kuwa ni sehemu ya wanajeshi wa zamani wa jeshi la ulinzi la Afrika Kusini SANDF, wanajeshi wa zamani wa majeshi ya waasi wa nchi za Angola UNITA, Msumbii au Congo DRC.

Lakini kwa mujibu wa Mohamed Dewji mwenyewe watekaji hao walikuwa wakitumia moja ya lugha za nchi hiyo ya Afrika Kusini na walipomteka aliweza kuona ngozi zao kuwa ni nyeupe, hivyo kuweka uwezekano mkubwa kwamba hawa majeshi ya kukodi au mercenarie yanaweza kabisa kuwa ni wale wanajeshi wa zamani wa SANDF.

Majeshi ya kukodi au mervcenaries yapo mengi barani Afrika na huwa wanajihusisha na shughuli kama za ulinzi wa wafanyabiashara wakubwa wa madini, makampuni ya uchumbaji madini na hata kukodiwa kufanya utekaji kitendo kijulikanancho kama "a gun for hire for highest bidder".

Vikosi hivyo huuza ujuzi wao au expertise kwa mtu yoyote anaoehitaji lakini tu yule mwenye dau kubwa.

Pia vikosi hivi vya majeshi ya kukodiwa au mercenaries huwezi kushiriki kwtika kufanya mapinduzi ndani ya nchi kwa kuwasaidia baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

Baadhi ya majina ya vikosi hivi khasa kutoka Afrika Kusini ni pamoja na Sharp End International, GK Siera Unity Resources Group, Sandline International na kadhalika.

Kukutwa kwa silaha mbalimbali ndani ya gari ilotumika kumtupa MO pale Gymkhana ni ishara tosha kwamba Tanzania sasa tunaweza kuwa na majeshi ya kukodi ambayo yanaingia na kutoka nchini.

Vikosi hivyo vinaweza kabisa kuingia nchini kupitia usafiri wa ndege, maasi au malori ya kwenda nchi jirani hivyo kuwa nijambo la kwaida tu pale anapokusalimi kwa Kiswahili kibovu kama cha "jambo" na ofisi wa uhamiaji akachekacjeka na kugonga mhuri wa kuingia kwenye pasi zao za kusafiria.

NI jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinafuatilia suala la utekaji wa Mo Dewji na uhakikisha wanapata taarifa zote muhimu kwa usalama wa nchi yetu.

Ni jambo la kutafakari.

Nina mashaka na IQ yako teacher!
 
Back
Top Bottom