BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
PGO gani mkuu unafikri yale ya kijinga ya wanasheria ndoo yanaweza mfanya asiwe mwelewa kwa taarifa yako Ramadhan kingai alikuwa Rco mkoa arusha mkoa huo siyo lelemama huyo jamaa yupi vizuri sana kesi ya mbowe mnaona kama hafai kwa kuwa huruma ya samia mbowe alitoka mahabusu lakini juwa angewaka mvua kesi nyingi zilizopita kwa kingai nyingi zinamafinikio huyo jamaa siyo wa mchezo
Baada ya kusikia uteuzi wa Ramadhan Kingai kuwa DCI, Akichukua nafasi ya Wambura , ambaye amepandishwa na kuwa IGP , watu wengi wamehoji UADILIFU wa Mamlaka ya uteuzi.
Wananchi kuhoji uteuzi huu si jambo la kushangaza, hii ni kwa sababu DCI ni Mtumishi wa umma , uteuzi wake unaweza kushangiliwa, kupuuzwa ama kuhojiwa, kuhoji uteuzi ama ajira yoyote ya mtumishi wa Umma haijawahi kuwa kosa kisheria na ndio maana Uteuzi wa Abdallah Zombe kuwa RPC Songwe ulihojiwa na hatimaye akakamatwa na kufunguliwa kesi ya aibu Mahakamani.
Kingai aliyekuwa RPC wa Kinondoni anafahamika kama Mmoja wa Maofisa wa Juu wa Jeshi la Polisi Tanzania ambaye hafahamu chochote kuhusu PGO, kwa Wasiofahamu PGO ndio mwongozo wa Jeshi la Polisi Tanzania katika utekelezaji wa Majukumu yake , PGO ndio Msahafu wa Jeshi la Polisi , asiyeifahamu hatakiwi si tu kuwa DCI , bali hatakiwi kuwa hata Konstebo , hili lilithibitika kwenye kesi ya Uongo aliyotumwa kuiandaa iliyoitwa Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake watatu, Kingai akishirikiana na Mtoto wa Mahita ( IGP WA ZAMANI ) Walihusika kuanzia kumkamata Freeman Mbowe na kupekua nyumbani kwake, ambako ALINUKULIWA AKIMWAMBIA MBOWE KWAMBA SAFARI HII HUTOKI NA TUNAKUPA KESI YA UGAIDI, ( Hakuwahi kukanusha ) , hata hivyo Mbowe alitoka na yuko huru, mtu wa namna hii kumpa cheo cha DCI ni kichekesho na kituko kikubwa na ni dharau kubwa sana kwa Watanzania kulikofanywa na Mamlaka ya Uteuzi kwa sababu ya kulewa madaraka .
Labda sasa tuambiwe MAJUKUMU MAPYA YA DCI , bali kama ni yale yanayofahamika siku zote KINGAI HAFAI NA AONDOLEWE HARAKA, Kuanza upya siyo Ujinga.
Manara alijibishana na Karia , Aliyoyasema Karia unayajua ?SABABU YA MANARA KUFUNGIWA
Kamati ya maadili imetaja baadhi ya maneno ambayo Msemaji wa Yanga Haji Manara aliyazungumza mbele ya Rais wa Tff Wallace Karia.
“Wewe unanifatafata sana, hii ni mara ya tatu, sikuogopi kwa lolote,kwa chochote na huwezi kunifanya chochote. Nina uwezo wa kukufanya chochote na huna cha kunifanya.”
#yangasc #michezo #kingsfmradio #jisikiemfalme #hajisManara #Manara #sportsupdates #sportskachumbari #ligikuubara
Good,ila kumbuka hakuna cha huruma wale nini,kumbuka chema chajuza kibaya chajitembeza mlitunga kesi ya mchongo na kesi hiyo hiyo ikawaumbua kuwa ninyi ni mbumbumbu.PGO gani mkuu unafikri yale ya kijinga ya wanasheria ndoo yanaweza mfanya asiwe mwelewa kwa taarifa yako Ramadhan kingai alikuwa Rco mkoa arusha mkoa huo siyo lelemama huyo jamaa yupi vizuri sana kesi ya mbowe mnaona kama hafai kwa kuwa huruma ya samia mbowe alitoka mahabusu lakini juwa angewaka mvua kesi nyingi zilizopita kwa kingai nyingi zinamafinikio huyo jamaa siyo wa mchezo
[emoji38][emoji38][emoji38]Good,ila kumbuka hakuna cha huruma wale nini,kumbuka chema chajuza kibaya chajitembeza mlitunga kesi ya mchongo na kesi hiyo hiyo ikawaumbua kuwa ninyi ni mbumbumbu.
Naomba nitajie polisi anayeijua PGO na kuifuataBaada ya kusikia uteuzi wa Ramadhan Kingai kuwa DCI, Akichukua nafasi ya Wambura , ambaye amepandishwa na kuwa IGP , watu wengi wamehoji UADILIFU wa Mamlaka ya uteuzi.
Wananchi kuhoji uteuzi huu si jambo la kushangaza, hii ni kwa sababu DCI ni Mtumishi wa umma , uteuzi wake unaweza kushangiliwa, kupuuzwa ama kuhojiwa, kuhoji uteuzi ama ajira yoyote ya mtumishi wa Umma haijawahi kuwa kosa kisheria na ndio maana Uteuzi wa Abdallah Zombe kuwa RPC Songwe ulihojiwa na hatimaye akakamatwa na kufunguliwa kesi ya aibu Mahakamani.
Kingai aliyekuwa RPC wa Kinondoni anafahamika kama Mmoja wa Maofisa wa Juu wa Jeshi la Polisi Tanzania ambaye hafahamu chochote kuhusu PGO, kwa Wasiofahamu PGO ndio mwongozo wa Jeshi la Polisi Tanzania katika utekelezaji wa Majukumu yake , PGO ndio Msahafu wa Jeshi la Polisi , asiyeifahamu hatakiwi si tu kuwa DCI , bali hatakiwi kuwa hata Konstebo , hili lilithibitika kwenye kesi ya Uongo aliyotumwa kuiandaa iliyoitwa Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake watatu, Kingai akishirikiana na Mtoto wa Mahita ( IGP WA ZAMANI ) Walihusika kuanzia kumkamata Freeman Mbowe na kupekua nyumbani kwake, ambako ALINUKULIWA AKIMWAMBIA MBOWE KWAMBA SAFARI HII HUTOKI NA TUNAKUPA KESI YA UGAIDI, ( Hakuwahi kukanusha ) , hata hivyo Mbowe alitoka na yuko huru, mtu wa namna hii kumpa cheo cha DCI ni kichekesho na kituko kikubwa na ni dharau kubwa sana kwa Watanzania kulikofanywa na Mamlaka ya Uteuzi kwa sababu ya kulewa madaraka .
Labda sasa tuambiwe MAJUKUMU MAPYA YA DCI , bali kama ni yale yanayofahamika siku zote KINGAI HAFAI NA AONDOLEWE HARAKA, Kuanza upya siyo Ujinga.
Nawajua wasioijua tuNaomba nitajie polisi anayeijua PGO na kuifuata
Basi kwa taarifa mheshimiwa wangu, polisi wanaoijua PGO ni wale enzi za mwalimu.Nawajua wasioijua tu
AmenBasi kwa taarifa mheshimiwa wangu, polisi wanaoijua PGO ni wale enzi za mwalimu.
Hawawa sasa ni hobela hobela. Kadiri anavyokuwa MTIIFU bila kujali reputation yake ndivyo anavyoonekana mzalendo.
Kaa ukijua kuwa, Katiba Mpya ndo jibu
WamechemshaNgoja waje kutoa miongozo...
Kama mama naye haoni hivyo, wala kusikia watu wema wanavyomshauri, basi tuna tatizo kubwa. Mtu yeyote anaweza kuwa Rais, kama anakuwa na washauri wazuri na kuwa na uwezo wa kuchambua na kuupima ushauri atakaopewa. kama hivyo ni kweli, basi kuna uwezekano, amezungukwa na walamba viatu, ameshindwa kuuchambua ushauri mbovu anaopewa au vyote.Kuna hujuma dhidi ya Mama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] MAMA ANAHUJUMIWAKuna hujuma dhidi ya Mama