Je, makampuni ya simu yanatuuza kwa makampuni ya betting? wanapata wapi namba zetu?

Je, makampuni ya simu yanatuuza kwa makampuni ya betting? wanapata wapi namba zetu?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Makampuni ya kubeti yanatuma meseji hadi imeshakuwa kero sasa.

Mtu hata haujajisajili huduma yao yoyote lakini unashangaa unatumiwa mameseji tele ya mfululizo tena kila siku.

Lakini cha kujiuliza ni je wanawezaje kupata namba ya simu ya mtu mmojammoja?

Hapa jibu lenye mantiki ni moja tu. Inawezekana kuna mchezo mchafu unafanywa na haya makampuni ya simu kuwauzia namba zetu hawa jamaa wa betting.

Hii kitu inakera sana.

Pia soma: Wahusika Pigeni Marufuku Makampuni ya kamari kututumia ujumbe mfupi (SMS) kwenye simu zetu
 
Makampuni ya kubeti yanatuma meseji hadi imeshakuwa kero sasa.

Mtu hata haujajisajili huduma yao yoyote lakini unashangaa unatumiwa mameseji tele ya mfululizo tena kila siku.

Lakini cha kujiuliza ni je wanawezaje kupata namba ya simu ya mtu mmojammoja?

Hapa jibu lenye mantiki ni moja tu. Inawezekana kuna mchezo mchafu unafanywa na haya makampuni ya simu kuwauzia namba zetu hawa jamaa wa betting.

Hii kitu inakera sana.
Kama ulishawahi kujisajiri kwenye hayo makampuni basi kuwa mvumilivu
 
Makampuni ya kubeti yanatuma meseji hadi imeshakuwa kero sasa.

Mtu hata haujajisajili huduma yao yoyote lakini unashangaa unatumiwa mameseji tele ya mfululizo tena kila siku.

Lakini cha kujiuliza ni je wanawezaje kupata namba ya simu ya mtu mmojammoja?

Hapa jibu lenye mantiki ni moja tu. Inawezekana kuna mchezo mchafu unafanywa na haya makampuni ya simu kuwauzia namba zetu hawa jamaa wa betting.

Hii kitu inakera sana.
Unajua maana ya BULK SMS?

#YNWA
 
Mi naomba kujua nawezaje kuzuia msg za betting company zisije kwenye no yangu ya voda?
 
Makampuni ya kubeti yanatuma meseji hadi imeshakuwa kero sasa.

Mtu hata haujajisajili huduma yao yoyote lakini unashangaa unatumiwa mameseji tele ya mfululizo tena kila siku.

Lakini cha kujiuliza ni je wanawezaje kupata namba ya simu ya mtu mmojammoja?

Hapa jibu lenye mantiki ni moja tu. Inawezekana kuna mchezo mchafu unafanywa na haya makampuni ya simu kuwauzia namba zetu hawa jamaa wa betting.

Hii kitu inakera sana.

Pia soma: Wahusika Pigeni Marufuku Makampuni ya kamari kututumia ujumbe mfupi (SMS) kwenye simu zetu
Kwa kawaida wengi wetu wakati wa kujisajili na huduma za simu zetu, huwa tunakubali tu vitu vingi ambazo mwisho wake huwa na matokeo haya.

Kuna kawaida ya kubadilishana taarifa za mteja kwa taasisi washirika baada ya ruhusa zetu wakati wa kusajili kwenye mitandao tunayotumia.

Ndiyo maana unaweza akaunti yako ya benki ikapokea hela na wakati huohuo unajikuta unapokea tangazo la KFC ya ofa za kuku wao.

Ova
 
Kwa kawaida wengi wetu wakati wa kujisajili na huduma za simu zetu, huwa tunakubali tu vitu vingi ambazo mwisho wake huwa na matokeo haya.

Kuna kawaida ya kubadilishana taarifa za mteja kwa taasisi washirika baada ya ruhusa zetu wakati wa kusajili kwenye mitandao tunayotumia.

Ndiyo maana unaweza akaunti yako ya benki ikapokea hela na wakati huohuo unajikuta unapokea tangazo la KFC ya ofa za kuku wao.

Ova
hata kama ni kweli ulijisajili ndio iwe marufuku kujitoa?
 
TIGO wanaongoza kwa huu ujinga, nikiwapigia simu huduma kwa wateja waondoe hizo meseji wanajibu zitaondoka baada ya masaa 24, lakini hata yakipita hayo masaa bado naendelea kupata hizo meseji, ni kero kero kero.

Naanza kuhisi ni kama biashara fulani inafanywa kati ya TiGo na makampuni ya betting, wakishakula pesa za watu huko wanaanza kutukera kwa non stop messages ndio maana hawawezi kutuondolea wateja wao hiyo kero.
 
huduma lazima iwe na option ya mtu kuingia na kutoka. hawa hawana hiyo option. na mara nyingi wanakutumia sms hata km hujajisajili huko hizo kamari.
ndio nkakwambia hiyo ni biashara inayo waingizia pesa, sio betting companies tu wanatumia hiyo huduma bali hata serikali, meseji za polisi(kuhusu utapeli) sensa kipindikile nazani unakumbuka, pia benk kuu ya tz BOT (kuhusu mikopo mtandaoni) nao wanatumia mitandao kusambaza taarifa na tahadhari kwa watu...
kwahyo ni kawaida kama zinakukera wewe zi block wala huto ziona tena。
 
Back
Top Bottom