Je, makampuni ya simu yanatuuza kwa makampuni ya betting? wanapata wapi namba zetu?

Yani hakuna siku ambayo meridian bet hawajaacha kanitumia sms.Hovyo kabisa
 
Mimi Meridianbet wananitumia msg 2 kila siku.
Nahisi haya makampuni huwa wanauza taarifa zetu maana juzi jumamosi imeingia msg kutoja bar maarufu mtaani kuhusu promotion zao za jumamosi, ni zile bulk sms ambazo zina jina bila namba.

Ni kweli mimi mnywaji ila sio wa kukumbushwa kwenda kunywa.
 
Binafsi Kila siku napata hizo messages za "freemason, betting, waganga, na zaidi hata kampuni za kutoa mikopo", sasa hii najiuliza wanapata wapi namba zangu za simu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…