Je makanisa ya upako ni viwanda vya mapepo?

Je makanisa ya upako ni viwanda vya mapepo?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
kuna watu kama watatu baada ya kumbilia kwenye makanisa ya upako ya uamsho wa kisasa waliingia wazima ila baadae wanasumbuliwa na mapepo.

Siku ya jumapili imegeuka kama siku ya leheso ya kutoa mapepo hayo kisha jumapili ijayo zoezi linajirudia tena.

Wafanyamazingaombwe na waganga wengi wamejificha makanisani leo kama mitume na manabii. Ili ufungwe usihame lazima ufungwe kupitia sala za kurudia matamko.

Mungu huwa anatoa maonyo kimyakimya kabla haujafanya uamuzi wa kujisokomeza kwa watu usiowaelewa. Ukipuuza utaishia kuoga pepo za kukutosha.


Ni hayo tu
 
kuna watu kama watatu baada ya kumbilia kwenye makanisa ya upako ya uamsho wa kisasa waliingia wazima ila baadae wanasumbuliwa na mapepo.

Siku ya jumapili imegeuka kama siku ya leheso ya kutoa mapepo hayo kisha jumapili ijayo zoezi linajirudia tena.

Wafanyamazingaombwe na waganga wengi wamejificha makanisani leo kama mitume na manabii. Ili ufungwe usihame lazima ufungwe kupitia sala za kurudia matamko.

Mungu huwa anatoa maonyo kimyakimya kabla haujafanya uamuzi wa kujisokomeza kwa watu usiowaelewa. Ukipuuza utaishia kuoga pepo za kukutosha.


Ni hayo tu
Kama Hadi sasa huwezi kutofautisha makusanyiko ya WATAKATIFU na makanisa ya manabii wa uongo utakwama.

Ukiingia Kanisani na ukamaliza mwezi, hayupo aliyeitwa kuokoka,au mtumishi hakemei dhambi, hawafundushi waumini kuishi maisha ya utakatifu,kimbia mara Moja.

Hayupo aliyekutana na YESU kristo na akabaki na matatizo aliyokuja nayo.

Kabla ya kuamua kuhamia Kanisa lingine funga na uombe Mungu akupeleke katika Kanisa sahihi.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Kama Hadi sasa huwezi kutofautisha makusanyiko ya WATAKATIFU na makanisa ya manabii wa uongo utakwama.

Ukiingia Kanisani na ukamaliza mwezi, hayupo aliyeitwa kuokoka,au mtumishi hakemei dhambi, hawafundushi waumini kuishi maisha ya utakatifu,kimbia mara Moja.

Hayupo aliyekutana na YESU kristo na akabaki na matatizo aliyokuja nayo.

Kabla ya kuamua kuhamia Kanisa lingine funga na uombe Mungu akupeleke katika Kanisa sahihi.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Unasali wapi mkuu
 
Kama Hadi sasa huwezi kutofautisha makusanyiko ya WATAKATIFU na makanisa ya manabii wa uongo utakwama.

Ukiingia Kanisani na ukamaliza mwezi, hayupo aliyeitwa kuokoka,au mtumishi hakemei dhambi, hawafundushi waumini kuishi maisha ya utakatifu,kimbia mara Moja.

Hayupo aliyekutana na YESU kristo na akabaki na matatizo aliyokuja nayo.

Kabla ya kuamua kuhamia Kanisa lingine funga na uombe Mungu akupeleke katika Kanisa sahihi.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Ubarikiwe, umeandika vitu vya kufaa.
 
Back
Top Bottom