Mtanzania gani unashindwa kutofautisha usalama wa taifa na Jwtz?Ni dhahiri makonda alienda kuvamia clouds akiwa na jeshi la wananchi na Polisi. Makonda sio commander wa jeshi la wananchi wala la polisi. Je, iwapo walinzi wa clouds wangerusha risasi kwa wanajeshi na polisi, je makonda alikuwa na amri au mamlaka kisheria ya kutoa amri ya kupiga risasi ( open fire). Kama jibu ni hapana, Kuna umuhimu huyu makonda akashtakiwa kwa makosa ya ugaidi, ujambazi, na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ikiwemo polisi na jwtz.
hivi wewe unaona vizuri kweli.? hujaona watu wamevaa nguo za mabaka mabaka pale??Hakukukuwa na wanajeshi pale.
Makonda hana mamlaka ya kupiganisha askari yeyote kikatiba.
Kupiga risasi ingekuwa ni kwa uamuzi wa askari wenyewe kujilinda na kumlinda yeye si kwa amri yake.
ookey. inamaana wale waliovaa mabakamabaka kumbe ni Usalama wa taifa na sio JWTZ!!!Mtanzania gani unashindwa kutofautisha usalama wa taifa na Jwtz?
Wala sio kutokujua, kama camera zingekuwa zimeng'aa zaidi ya pale ungeweza kuona tofauti.ookey. inamaana wale waliovaa mabakamabaka kumbe ni Usalama wa taifa na sio JWTZ!!!
Oookey hatukujua bna wengine huku hatuyajui haya majeshi
hata polisi ni mwanajeshiHakukukuwa na wanajeshi pale.
Makonda hana mamlaka ya kupiganisha askari yeyote kikatiba.
Kupiga risasi ingekuwa ni kwa uamuzi wa askari wenyewe kujilinda na kumlinda yeye si kwa amri yake.
Una hakika RC alienda clouds FM akiwa amefatana na polisi?Ni dhahiri makonda alienda kuvamia clouds akiwa na jeshi la wananchi na Polisi. Makonda sio commander wa jeshi la wananchi wala la polisi. Je, iwapo walinzi wa clouds wangerusha risasi kwa wanajeshi na polisi, je makonda alikuwa na amri au mamlaka kisheria ya kutoa amri ya kupiga risasi ( open fire). Kama jibu ni hapana, Kuna umuhimu huyu makonda akashtakiwa kwa makosa ya ugaidi, ujambazi, na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ikiwemo polisi na jwtz.
basi mkuu mm nilijua ni jwtz. nashukuru kwa ufafanuziWala sio kutokujua, kama camera zingekuwa zimeng'aa zaidi ya pale ungeweza kuona tofauti.
Hivi ni mkuu wa usalama na ulinzi au ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama embu nidadavulie kidogoKwa kuwa ndiye mkuu wa ulinzi na usalama nadhani pale alikuwa na mamlaka ya kuwaamuru kufanya chochote na tatizo cyo Makonda Tatizo ni katiba yetu kuruhusu mambo ya kipumbavu Simlaumu Makonda na BABA Jesca Najilaumu Mimi na WaTZ wenzangu kwa kukosa uthubutu na kuruhusu kuwa na katiba ya kipumbavu
Kama aliweza kuwaswaga kama mbuzi hadi pale, na wakitambua wazi kwamba ni kinyume na ethics za kazi na bado wakamtii hata angewaamuru wajipige risasi wenyewe wangetii pia!Kwa cheo kipya cha Naibu Rais anaweza kutangaza hata hali ya hatari!Hakukukuwa na wanajeshi pale.
Makonda hana mamlaka ya kupiganisha askari yeyote kikatiba.
Kupiga risasi ingekuwa ni kwa uamuzi wa askari wenyewe kujilinda na kumlinda yeye si kwa amri yake.
Kisiasa siasa sawa.Kama aliweza kuwaswaga kama mbuzi hadi pale, na wakitambua wazi kwamba ni kinyume na ethics za kazi na bado wakamtii hata angewaamuru wajipige risasi wenyewe wangetii pia!Kwa cheo kipya cha Naibu Rais anaweza kutangaza hata hali ya hatari!
Labda unamaanisha wale Military Police(MP)ila kama unamaanisha akina sirro umepotea.hata polisi ni mwanajeshi
Hii sheria/utaratibu wa mkuu wa mkoa kuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa ni ya kuangalia upya kwa maana ikitokea mkuu wa mkoa mwenye madaraka ya kulevya kama huyu mkuu wa wakuu wa mikoa na naibu Rais inaweza kuingiza taifa kwenye matatizo makubwa!Kisiasa siasa sawa.
Wale wanamlinda tu,kama katiba inavyowaagiza.
Haiagizi rc kuwapa amri yoyote ya matumizi ya siraha, inamaana kama wangeua huko wangejibu wao sio rc.
Wangejitetea kwamba walikuwa wakimlinda rc, sio rc alowaagiza.