Je mama anayenyonyesha akishiriki tendo la ndoa na mwanaume anaweza kupata mimba?

Savian Isaya

Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
19
Reaction score
3
Je mama anayenyonyesha anaweza kupata mimba km akifanya mapenz na mwanaume maana cku zake hazionekan
 
Ukiwa unanyonyesha homones za oestrogen zinasaidia usipate mimba, uzalishwaji wa hormones hizi unategemea demand ya kunyonyesha. Kama mama hanyonyeshi mara sita au zaidi kwa siku uzwalishwaji wa hormones unapungua na anakuwa kwenye hatari ya kuapata mimba.

Hata huvyo contraceptives hushauriwa hospitali kabla mama hajaruhusiwa.
 
Bila Shaka ww ni nurse
 
Wamama wa .com huwa hawana mpango wa kunyonyesha hivyo possibility ya kupata ujauzito within two months after birth huwa kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…