Je mama blood group "O" anaweza kuzaa mtoto group "AB" ?

LIFE HELP

Senior Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
149
Reaction score
71
Salaam members, naomba kujua je mama mwenye blood group O kwa kukutana na mwanume yeyote yule yaani mwenye blood group lolote lile anaweza kupata/kuzaa mtoto mwenye blood group AB ?
 
Salaam members, Naomba kujua je mama mwenye blood group O kwa kukutana na mwanume yeyote yule yaani mwenye blood group lolote lile anaweza kupata/kuzaa mtoto mwenye blood group AB ? ?
Hey hematologist come here
 
Salaam members, Naomba kujua je mama mwenye blood group O kwa kukutana na mwanume yeyote yule yaani mwenye blood group lolote lile anaweza kupata/kuzaa mtoto mwenye blood group AB ? ?
jibu ni hapanaa
 
Salaam members, Naomba kujua je mama mwenye blood group O kwa kukutana na mwanume yeyote yule yaani mwenye blood group lolote lile anaweza kupata/kuzaa mtoto mwenye blood group AB ? ?
Brother, ukiona mbuzi kazaa sungura basi kuna namna haijenda sawa. Huyo mama group O akipata mtoto wa AB basi nivema umuwahishe makumbusho mana genetical laws zitakua violated
 
Nyie mnaokataa toeni sababu bhasi. Mimi naona anaweza kupata. Huenda mme wake alikuwa na AB

Hiyo AB ni seli mbili A na B, moja ilitoka kwa baba na moja kwa mama. Na zenyewe ili ziende kwa mtoto itabidi zigawanyike ziwe A na B na sio AB. Mama akileta O na O ( group O= group OO) basi mtoto atapokea O ya mama na A ya baba ambayo italeta group OA ( ambalo ni group A sababu A ni dominant) au O ya mama itachukua B ya baba kuleta OB( group B). Hapa hakuna possibility ya mtoto kupata AB sababu mama hana A wala B.
 
No more word
 
uko vizuri
 
Ukimkuta Ana Mtoto wa Blood Group AB basi Karipoti Polisi haraka sana manake itakuwa ni obviously Kamuiba Hospitali huyo na wala Hajamzaa yeye
 
Nilishawahi kupata elimu kutoka kwa wataalam wa afya kuwa mtoto huwa hachangii damu kwa namna yoyote ile kutoka kwa wazazi wakati wa akiwa tumboni mwa mama yake mpaka kuzaliwa! Sasa hili likoje au nililishwa unga wa ndele???
 
Nilishawahi kupata elimu kutoka kwa wataalam wa afya kuwa mtoto huwa hachangii damu kwa namna yoyote ile kutoka kwa wazazi wakati wa akiwa tumboni mwa mama yake mpaka kuzaliwa! Sasa hili likoje au nililishwa unga wa ndele???
Group la damu na characters nyingine za mtoto zinarithiwa kutoka kwa wazazi na haihusiani na kuchanganywa kwa damu.
Pale mbegu na yai zikiungana mtoto atachukua baadhi ya characters kutokana na DNA za wazazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…