Je man city wanaweza kuvunja utawala wa man u ndan ya misim 3 ijayo?

Je man city wanaweza kuvunja utawala wa man u ndan ya misim 3 ijayo?

Joined
Jul 13, 2011
Posts
64
Reaction score
8
Takliban mwez sasa man city walipewa na mmiliki wao kama tilion 1 za usajili, je? unafikili wakisajili nakuunda kikosi kilicho bola misim hi 2 watavunja utawala wa man utd wakuchukua vikombe?
 
Takliban mwez sasa man city walipewa na mmiliki wao kama tilion 1 za usajili, je? unafikili wakisajili nakuunda kikosi kilicho bola misim hi 2 watavunja utawala wa man utd wakuchukua vikombe?
Sheria mpya za UEFA zinawabana Man City kutumia fedha nyingi,so far hadi sasa wamesajili wachezaji 2 tena hakuna hata anyefikia pauni mil 10,huenda wakanunua mshambuliaji kama TEVEZ ataondoka
 
Back
Top Bottom