Je, Man united kucheza UEFA Champions League endapo itatwaa kombe la Europa?

Wewe uko vzr haswa
 
Msimu ujao Arsenal mtakuwa mnacheza muda mmoja na FUTUHI ... Teh!
 
Hii kanuni inatumika ivi mfano epl
Chelsea bingwa
Tothenam wa pili
Liver wa tatu
Man city wa 4
Arsenal wa 5 ila kashinda uefa
Man utd wa 6 ila kabeba europe
So haziwezi kwnd timu sita UEFA hapo city hataenda europe
 
Hii kanuni inatumika ivi mfano epl
Chelsea bingwa
Tothenam wa pili
Liver wa tatu
Man city wa 4
Arsenal wa 5 ila kashinda uefa
Man utd wa 6 ila kabeba europe
So haziwezi kwnd timu sita UEFA za england hapo city hataenda europe
 
Sio hivyo, kwa kutumia mfano huo huo ulioutumia ni kwamba uefa na uropa zote zikienda ktika ligi moja msimu ujao zinaingia uefa timu tano. Ndio maana spain iliingiza timu tano
 
Hii kanuni inatumika ivi mfano epl
Chelsea bingwa
Tothenam wa pili
Liver wa tatu
Man city wa 4
Arsenal wa 5 ila kashinda uefa
Man utd wa 6 ila kabeba europe
So haziwezi kwnd timu sita UEFA za england hapo city hataenda europe
Watu wanajitoa ufahamu unadhani hawaelewi basi, matumbo joto tu
 
Unafuatilia mpira au unasimuliwa.. Chelsea alipochukua ubingwa UEFA kwani alikuwa nafasi ya ngapi ktk ligi?? Hata alipochukua EUROPA alikuwa top 4.. bt kisheria timu yoyote ikiwa bigwa wa EUROPA hushiriki UEFA CHAMPS LG.. then mshindi wa nne upelekwa EUROPA ikiwa timu iliyoshinda haipo top 4...
 
Man u gani ya kumfunga ajax
Hata ile ya fagason haiwez
Sembuse hii ya jose
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…