Hajapata SUP wee, wenzio wanajiandaa na SUP kule
Daily! tena unaweza kuzikusanya unakausha unga wake unafanya kinogesho kwenye uji, juice hata maji.
Hajapata SUP wee, wenzio wanajiandaa na SUP kule
Hhahaàah mapenzi ni uchafu mzee wanasema na ubunifu unatakiwaSiku nkizama chumvini sijui ntaamkia wapi na church stakuw na haja ya kwenda kwa UCHAFU HUO.
Mahaba so lazma na hlo ufanye,
hivi mababu zetu nao walkuwa wanazama chumvini? Au kumeza sperms?
Jaman nahis nitatapika sana maana hata zikinidondokea kwenye mwili nachefukwa
hujampata bado?
Limao sio kali...
Natafuta ndimu ya china....aka ajinamoto tehteh
Hili nilishaliongelea, kwanini unanitia kichefuchefu tenaaaa!! Aggggrrrrrrr!!
Rutuba inakupa kichefuchefu?
Mi nadhani nshampata......we waonaje kwani? Nishampata?