Je, manii/shahawa zina madhara kiafya iwapo nitazimeza?

Mmmh! sijachunguza hili ila nadhani kuna uwezekano wa kupata infections kama sio mdomoni basi kooni.
Mwili wa binadamu una aina nyingi za bacteria ambao wengi wao sio harmful hadi pale unapowahamisha kutoka eneo moja na kwenda sehemu nyingine yenye mazingira tofauti na waliyozoea.

Hata hivyo kwa nini ule shahawa?? unataka ili iweje?? maana kwa bandiko lako, saikolojia inaniambia umeshafanya hicho na huenda ndio mara yako ya kwanza.
 
mbona mm nanyonya m na k
 
What are the side effects of swallowing a sperm?

Answer:
There are no side effects to swallowing a "sperm", other than the death of the sperm cell. Although seminal fluid is there to clean any urine from the track, as a rule, I believe seminal fluid is also harmless, other than possibly having a small amount of urine in it. Some people are revolted at the thought of swallowing it due to the problem of the donor of the semen possibly being infected with organisms that can be transmitted to others through semen. HIV can be transmitted through semen, and I have read that it is likely that it can be transmitted through pre-ejaculate as well.

Answer:

It may cause stomach upset as it contains enzymes that interact with mucous membranes. These enzymes help to facilitate successful fertilization in the womb, but they can also affect the mucous membranes of the digestive tract when swallowed and cause indigestion and stomach pain.



Kwa hali ya sasa kimaisha ninakushauri usimeze shahawa za Mpenzi wako kutokana na maradhi yapo ajabu ajabu bora uteme shahawa kuliko kumeza.
 
Hata bila kusema najua huwezi kuwa kati ya hao

Grown ups don't attent to those sherehes!

umejuaje wanauza kama hujawahi kununua kwao?
Sio vizuri banaa, watu wanatokea kwenye party yenu afu mnawatukana.
(i was not among them, im just a nosy concerned citizen)
 
MziziMkavu na wadau wengine mimi nafahamu kuwa kunyonywa uume na kupiz wakati wa kunyonywa huwa kunachangia kumaliza nguvu za kiume. Ni kweli?
 
Madhara kunyonya uume bila condom ni sawa na ku fanya maoenzi bila condom, madhara yote yanyo tokana na STD unaweza yapt kooni na kwingine. Bay zaidi ni unaweza patwa na Saratani ya Koo kama unayo mnyonya uuume ana Virusi vya HPV ., virusi hivyo viko sana na ni rahisi kuvipata , epuka kunyonya uume bila condom.
 
Si kama uji haina shida hiyo endelea kunywa hiyo mambo.Ila mimba ikishika mdomoni usije ukashangaa tena
 
Dah nimekupenda ghafla yani, wewe ni mtaalamu aisee naomba gemu mamii
 
Those are proteins, carbohydrates and other minor nutrients,so rejea notes zako za form 2/3 uone enzymes zinavyomeng'enya chakula. Kwa kifupi sperms zikipita mdomon zinakuwa kama chakula tu. Lkn kitendo cha kuruhusu sperms zipite mdomoni ili iweje? Na k yako inakazi gani? Maana huko ndo asili yake na kunakufanya ww unone......
 
Madhara ya kumeza sperm ni pamoja na kupata maumivu makal ya tumbo,kuharisha kusiko kwa kawaida,usipende kuiga kila kitu hata wacheza pono wenyewe huwa hawamez sperm.
 
MziziMkavu na wadau wengine mimi nafahamu kuwa kunyonywa uume na kupiz wakati wa kunyonywa huwa kunachangia kumaliza nguvu za kiume. Ni kweli?
Mkuu Mokoyo Kunyonywa .uume wako na Mwanamke hakuachangii Upungufu wa nguvu za kiume ukipendezewa kunyonywa wewe nyonywa tu poa hakuna madhara.

SABABU ZA (UPUNGUFU NGUVU ZA KIUME NA KUWAHI KUMALIZA HARAKA TENDO)

Upungufu wa nguvu za kiume husababishwa na magonjwa ya moyo, kisukari, mafuta mengi mwilini(high cholesterol), uvutaji sigara, matumizi ya madawa ya kulevya, matatizo katika uhusiano, mawasiliano duni na mwenza wako, matatizo ya kisaikolojia, msongo

wa mawazo, wasiwasi(anxiety),unywaji pombe,upungufu wa homoni aina ya testerone, kuongezeka uzito au uzito uliopitiliza, tabia ya kujichua kwa muda mrefu Kupiga Punyeto (masturbation) nk.

Kawaida baada ya tendo la ndoa, uume wa mwanamume yoyote hulegea na kusinyaa kwa muda kabla ya kuweza kusimika/kupata mdiso tena, mazingira, saikolojia na hali ya mwenza wako ndio huchangia kuweza kusimika/kudisa tena kwa haraka au kuchelewa kudisa tena.
DAWA ZA NGUVU YA KIUME KWA MWENYE KUTAKA BONYEZA hapa
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html
 
Asante Mkuu MziziMkavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…