heshima nicholaus
Member
- Dec 26, 2011
- 16
- 3
kitu nachofahamu mimi kuwa binadamu tunapenda na hali ya kupenda ni hisia zilizo ndani ya moyo,lakini linapokuja suala la upande wa pili wa yule uliyempenda huwa tunaamini naye anakupenda kutokana na muonesho wa hisia zake.jee mapenzi ni hisia ama imani?
Mapenzi si imani wala si hisia-Mapenzii ni kudanganyana tu....We danganya na yule unaye mpenda akudanganye.
Kama hujui kudanganya/na unaye mpenda hajui kudanganya hamchukui roud, wazungu wanasema; The game is over.
mapenzi ni chochote kinachokufanya uwe na mtu bila shurti.
@ziltan, nimeamua kuoa mwanamme mwingine.
@matola, hawezi shindana na moyo.
Hali halali ananiwaza mie