Je Mapigano ya Kikabila yataisha lini Tanzani???

Mtu wa Kawaida

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2008
Posts
239
Reaction score
69
Wadau kuna habari nimezipata muda si mrefu kwamba kuna vita kati ya koo ya Wairege na Wanyabisi na kuna mwanakijiji mmoja kajeruhiwa na kapelekwa hospitali.
Je kuna mdau anaweza kutuabarisha zaidi?? Kuhusiana na hii taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…