Yeye kasema for economic reasons.Jumbe za Trump kwa panama kuhusu Panama CanalView attachment 3184826
View attachment 3184825
View attachment 3184828View attachment 3184829View attachment 3184845
Majibu ya serikali ya Panama kupitia Rais wao.View attachment 3184849View attachment 3184850View attachment 3184851View attachment 3184853
Huyu bwana jambo lengine nililo gundua kutoka kwake China inanyima usingizi sana maana kila mara anawazungumzia wenda hata sababu ya kauli hizi ya uchokozi kwa serikali ya Panama ni China.
Bila shaka China anajua hasa kufinya panapouma kwa marekani.
Yeye kasema for economic reasons.
Na wamarekani wengi wa zamani wanadai panama ilikua chini ya USA then mambo yakaparanganyika.
Panama ilivorudishwa kwa Wa-panama, hapo ndo China akawa anaitumia kwa mambo yake,Sifa mojawapo ya capitalism na imperialism ni expansionism policy
Huyo mzee kapagawa anaitaka Panama canal, Greenland inayomilikiwa na Denmark na Canada
Panama canal ni mali ya Wapanama, aliyekuwa raisi wa Marekani Jimmy Carter alisaini mkataba wa kuirudisha kwa Panama mwaka 1999
“Every square metre of the Panama Canal and the surrounding area belongs to Panama and will continue belonging [to Panama],”
–Mulino (President of Panama)
1999 Rais alikuwa Bill ClintonSifa mojawapo ya capitalism na imperialism ni expansionism policy
Huyo mzee kapagawa anaitaka Panama canal, Greenland inayomilikiwa na Denmark na Canada
Panama canal ni mali ya Wapanama, aliyekuwa raisi wa Marekani Jimmy Carter alisaini mkataba wa kuirudisha kwa Panama mwaka 1999
“Every square metre of the Panama Canal and the surrounding area belongs to Panama and will continue belonging [to Panama],”
–Mulino (President of Panama)
1999 Rais alikuwa Bill Clinton