Je mashabiki wa Simba sc mtaishabikia Yanga sc au Azam Fc watesi wenu waliowatundika pale uwanja wa Nagwanda Sijaona??

Je mashabiki wa Simba sc mtaishabikia Yanga sc au Azam Fc watesi wenu waliowatundika pale uwanja wa Nagwanda Sijaona??

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Mashabiki wa Simba sc wanatamani kuona Yanga akikosa kombe na Kuna muda wanachukia mno wakisikia jina la Prince Dube aliye wadhadharisha pale Nagwanda Sijaona.

Je leo mtashangilia Yanga sc akiwalipia kisasi au mtashangilia Azam huku mioyo ikiwauma lakini akimzuiya yanga kuchukua kombe???

Nawasilisha hoja.
 
Mashabiki wa Simba sc wanatamani kuona Yanga akikosa kombe na Kuna muda wanachukia mno wakisikia jina la Prince Dube aliye wadhadharisha pale Nagwanda Sijaona.

Je leo mtashangilia Yanga sc akiwalipia kisasi au mtashangilia Azam huku mioyo ikiwauma lakini akimzuiya yanga kuchukua kombe???

Nawasilisha hoja.
mechi ni leo kumbe
 
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Bora nishangilie jiwe ila sio mbogamboga fc
 
Back
Top Bottom