NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Mashabiki wa Simba sc wanatamani kuona Yanga akikosa kombe na Kuna muda wanachukia mno wakisikia jina la Prince Dube aliye wadhadharisha pale Nagwanda Sijaona.
Je leo mtashangilia Yanga sc akiwalipia kisasi au mtashangilia Azam huku mioyo ikiwauma lakini akimzuiya yanga kuchukua kombe???
Nawasilisha hoja.
Je leo mtashangilia Yanga sc akiwalipia kisasi au mtashangilia Azam huku mioyo ikiwauma lakini akimzuiya yanga kuchukua kombe???
Nawasilisha hoja.