NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
mechi ni leo kumbeMashabiki wa Simba sc wanatamani kuona Yanga akikosa kombe na Kuna muda wanachukia mno wakisikia jina la Prince Dube aliye wadhadharisha pale Nagwanda Sijaona.
Je leo mtashangilia Yanga sc akiwalipia kisasi au mtashangilia Azam huku mioyo ikiwauma lakini akimzuiya yanga kuchukua kombe???
Nawasilisha hoja.
Prince Dube Nagwanda sijaonaUSM ALGER
Saa 9 mzeemechi ni leo kumbe
Wanahaha sana Kama watoto ya Timanawajua vizuri GUVU MOKO watashabikia Yanga tu...
Kila la heriAzam
Wew ndiyo Dalali??Bandari inauzwa huko!
Lucky Dube leo atawachezesha rege.
Yanga hata anigawie hela bure simshabikii. Lamba Lamba anamla mtu kichwa leo.nawajua vizuri GUVU MOKO watashabikia Yanga tu...