Je masharti ya kukopa kwenye taasisi za fedha kupitia title deed/hati ya kiwanja yakoje?

Je masharti ya kukopa kwenye taasisi za fedha kupitia title deed/hati ya kiwanja yakoje?

pachanya

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2012
Posts
2,004
Reaction score
2,146
Ndugu wanajamvi naombwa kujuzwa taratibu za kukopa Katika taasisi zetu za kifedha upoje kwa dhamana ya title deed/hati ya Kiwanja..
1: Je nahitaji kuwa na business plan ili nikopesheke?
2; Je. Naweza kukopeshwa kiwango cha fedha Mara ngapi ya thamani Ya kiwanja changu?
3;Je naweza kukopeshwa ili nikaanzishe biashara mwanzo kabisa?
4;Ni taasisi gani nzuri kwa kukopa yenye terms nzuri kwa customers.
Natumaini majibu yenu yatanipa mwanga wa wapi pa kuanzia....Nina title deed.
 
Back
Top Bottom