Je mashine zitakuwa mbadala wa mwanadamu?

Je mashine zitakuwa mbadala wa mwanadamu?

vizier

Member
Joined
Jan 7, 2018
Posts
49
Reaction score
53
Tangu zama za mawe mwanadamu amekuwa nguzo kubwa ya maendeleo,(man power) ongezeko la watu kwa jamii mbali mbali zilifanya binadamu kuweza kuendelea na kufanikisha shughuli zao za kimaendeleo wakati huo.

Lakini sasa zama nikama zinabadilika, mashine zinachukua nafasi kubwa ya binadamu kufanya kazi, hivyo kufanya binadamu hasa vijana kutokuwa na ajira.

Hivyo kufanya binadamu kupunguza idadi yao ili waweze kwenda na matakwa ya mashine.

Je, itakuwaje? Kama binadamu akitengeneza mashine itayo mzidi ujanja? Nazani tutakuwa doomed.

Robotics generation.
 
Tangu zama za mawe mwanadamu amekuwa nguzo kubwa ya maendeleo,(man power) ongezeko la watu kwa jamii mbali mbali zilifanya binadamu kuweza kuendelea na kufanikisha shughuli zao za kimaendeleo wakati huo.

Lakini sasa zama nikama zinabadilika, mashine zinachukua nafasi kubwa ya binadamu kufanya kazi, hivyo kufanya binadamu hasa vijana kutokuwa na ajira.

Hivyo kufanya binadamu kupunguza idadi yao ili waweze kwenda na matakwa ya mashine.

Je, itakuwaje? Kama binadamu akitengeneza mashine itayo mzidi ujanja? Nazani tutakuwa doomed.

Robotics generation.
hakuna namna zaidi ya kusoma vitabu tu.kumbuka kuwa hata mashine zimetengenezwa na mwanadamu.
 
mbona mashine zimeongeza ajira lukuki...
 
mbona mashine zimeongeza ajira lukuki...
Machine zimeondoa ajira nyingi miaka ya nyuma nilikua naendesha tipper ya mchanga kulikua kuna wapakiaji ambao walikua wanapakia kwa mkono. kila gari wapakiaji nane. Kila shimo lilikua Na wapakiaji Kalibu mia sasa kuna scavetor bucket zake kadhaa imejaza tipa. Sasa kuanzia mama ntilie wauza gongo,wauza bangi, wote hamna Nazi baada ya ujio wa machine a.k.a vijiko
 
mbona mashine zimeongeza ajira lukuki...
Hebu tupe mfano. Maana wote tunajua kazi ya mashine ni kurshisisha kazi. Lakini kwenye kurahisha hiyo kazi kuna mwingine anapoteza kazi.
 
Back
Top Bottom