Je, Mason Greenwood atapotea kwenye ramani ya soka kama Adam Johnson?

Je, Mason Greenwood atapotea kwenye ramani ya soka kama Adam Johnson?

karv

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
1,802
Reaction score
3,253
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri

Naomba niseme kidogo kwa anayopitia huyu mchezaji mwenye kipaji bwana mdogo Mason Greenwood kwa sasa.

Mwaka 2015 mchezaji wa Sunderland na timu ya Taifa ya Uingereza Adam Johnson alikamatwa na kushtakiwa kwa kushiriki mapenzi na binti wa miaka 15 ambaye ni shabiki yake katika gari yake aina ya Range Rover pia katika upekuzi wakakuta video za ngono za wanyama katika laptop yake.

Adam Johnson wala hakutaka shida akakiri kosa na mambo mengine ya mahakama yakaendelea.

Kipi kilimtokea Adam Johnson

~Baada tu ya kukiri kosa akaachana na mpenzi wake
~Sunderland wakasitisha mkataba wake
~FIFA EA sports wakamtoa
~Akapoteza mkataba na madili yake yote

Wakati anahukumiwa alikuwa na miaka 28 akahukumiwa miaka 6 jela mwezi wa pili mwaka 2016.

Lakini kwa bahati nzuri alikaa gerezani kwa miaka 3 tu na hatimaye mwaka 2019 akaachiwa huru. Kwa sasa washarudiana na mpenzi wake ambaye alimuacha baada ya kukiri kosa.

Kama hamumfahamu Adam Johnson alicheza

~ Manchester City
~ Watford
~ Leeds United
~ Sunderland

Kwa sasa hana timu yupo tu anakula pesa zake

Haya anayopitia Mason Greenwood kama ya Adam Johnson miezi ni hii hii tunaona hadi sasa watu mbalimbali washaanza kumu unfollow, Pale manchester United washamwambia until further notice, NIKE washamkataa, FIFA EA sports washamtoa.

Nipo najiuliza je na yeye atapotea kwenye ramanj ya soka kama alivyopokea Adam Johnson wa Sunderland?

Sipati jibu

Kama kuna sehemu kwenye kumbukumbu zangu nimekosea mtanikumbusha.

TM-comp-pg17.jpg
a083e82f3c04c0a465eb1c082533fe71b8e3bce8.jpg
 
Kwani Mwamba Greenwood amefanyeje dondoo kidogo
 
Tayari Man Utd wameiondoa picha ya Greenwood kwenye mabango yao yote na mtandaoni.

Pia, wamemu-unfollow kwenye mitandao ya kijamii na kusema hatocheza wala kufanya mazoezi mpaka hapo mambo yatakapokuwa sawa.

Lakini pia kampuni ya michezo ya televisheni (Video Games) ya FIFA imemuondoa Greenwood kwenye FIFA 22 ikiwa kama ishara ya kupinga vitendo alivyofanya mchezaji huyo.

Kwahayo yote hata kama baadae ataonekana hana hatia, kisaikolojia washammaliza.
 
Tayari Man Utd wameiondoa picha ya Greenwood kwenye mabango yao yote na mtandaoni.

Pia, wamemu-unfollow kwenye mitandao ya kijamii na kusema hatocheza wala kufanya mazoezi mpaka hapo mambo yatakapokuwa sawa...
Kabisa hapo hawezi kurudi kuwa kama zamani ila hawa mabinti wa mbele hawafai hata kidogo.. Hizi sheria na haki za binadamu sometimes in upuuzi nakumbuka nilikuaga na demu siku moja tumeenda vizuri lodge then yy akadai hajisikii kusex na tushapiga makiss kinoma mi nikamfosi si akadai eti nambaka sasa nikamuuliza we s mpenzi wangu ndo akanambia sheria kumlazimisha mtu kujigijigi hata kama n mkeo tayari usharape nkacheeka sana.. Sasa hiyo ni hapa bongo je uko ulaya hali ikoje??? Ila greenwood atapotea kizembe sana
 
Daah! Inshort dogo for personality yake anaonekana ana jeuri sana

Kuna siku niliwahi kusikia CR7 baada kurudi pale Old Trafford alikiri kijana Mason G. ana hulka ya umimi, ubishi na ujeuri na hata akiwa uwanjani mara nyingi huwa hapendi mchezaji mwenzake afunge ila yeye tu na hiyo hupelekea kukataa kutoa pasi za magoli anapokuwa kwenye nafasi hiyo na kuishia kupiga mashuti tu

Tabia zake uwanjani zina reflect maisha yake nje ya uwanja
 
Kabisa hapo hawezi kurudi kuwa kama zamani ila hawa mabinti wa mbele hawafai hata kidogo.. Hizi sheria na haki za binadamu sometimes in upuuzi nakumbuka nilikuaga na demu siku moja tumeenda vizuri lodge then yy akadai hajisikii kusex na tushapiga makiss kinoma mi nikamfosi si akadai eti nambaka sasa nikamuuliza we s mpenzi wangu ndo akanambia sheria kumlazimisha mtu kujigijigi hata kama n mkeo tayari usharape nkacheeka sana.. Sasa hiyo ni hapa bongo je uko ulaya hali ikoje??? Ila greenwood atapotea kizembe sana
Wapuuzi sana hawa warembo....ungemfukuza unaleta mrembo mwengine ujigegedee. Ndio umuhimu wa kuwa na wanawake watatu na kuendelea
 
Anakesi ya ubakaji na kutishia kuua kwa mpenzi wake picha hapo si unajua wazungu na haki za wanawake tena
Kesi ya shambulio hachomoki..
Kesi ya ubakaji..kwa kuwa walikua wapenzi,na inaonekana bado mpenzi wake(binti)anampenda..maana ishu imevujishwa kama ajali.. Itategemea na ushirikiano atakaotoa Polisi/kwa waendesha mashtaka..anaweza akapata unafuu..
Kurudi itategemea na matokeo ya kesi zote..
Wapo celebrities waliopata kadhia kama hizi wakabounce back..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Kabisa hapo hawezi kurudi kuwa kama zamani ila hawa mabinti wa mbele hawafai hata kidogo.. Hizi sheria na haki za binadamu sometimes in upuuzi nakumbuka nilikuaga na demu siku moja tumeenda vizuri lodge then yy akadai hajisikii kusex na tushapiga makiss kinoma mi nikamfosi si akadai eti nambaka sasa nikamuuliza we s mpenzi wangu ndo akanambia sheria kumlazimisha mtu kujigijigi hata kama n mkeo tayari usharape nkacheeka sana.. Sasa hiyo ni hapa bongo je uko ulaya hali ikoje??? Ila greenwood atapotea kizembe sana
Nimeumia sana, ni kama Niko ndotoni vile.
 
Back
Top Bottom