Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Namie napitia hapa mana ndani ya mwezi huu namie huu uzi utanihusu. Nje kuna taa kama 6*5*5/1000 =0.15Kwh *30 = .45Kwh yaani kwa taa tu mwezi mzima unit moja haishi. Twice kwa ndani nitatumia unit 1 maximum kwa mwezi
Unit 65.6 kwa elf 8000 mkuu!!? Mbona mie huwa napewa unit 28 kwa elf 10000!!Zero tarif hua napata unit 65.6 kwa 8,000 hua nabalance sana na natoboa mwezi mzima.
Ila unatakiwa uwe na nidham sana ya matumizi ya umeme ukiyumba kidogo unapituliza.
Natumia pasi,friji ndogo hua awasha pale inapohitajika sio nawasha kutwa nzima hata kama hakuna kitu. Kama sipo nazima nikijua kwa kua haifunguliwi haiwezi poteza baridi
Natumia brenda
Tv$ radio erc
Rice cooker.
Sina jiko la umeme wala heater..
Hujaelewa kuna makundi ya matumizi ya umeme kuna wanatumia unit 0-75 kwa mwezi hawa wapo kwenye kundi la tarrif 4 ambao hununua umeme kwa bei ya chini tofauti na wale wanaotumia zaidi ya unit 75 kwa mwezi.Unit 65.6 kwa elf 8000 mkuu!!? Mbona mie huwa napewa unit 28 kwa elf 10000!!
Shukrani mkuu hapo ninekuelewaHujaelewa kuna makundi ya matumizi ya umeme kuna wanatumia unit 0-75 kwa mwezi hawa wapo kwenye kundi la tarrif 4 ambao hununua umeme kwa bei ya chini tofauti na wale wanaotumia zaidi ya unit 75 kwa mwezi.
nadhani unamaanisha tarrif 4 ya chini kabisa. mimi wananipa Units 8 kwa shilingi 1000Za jioni ndugu, nahamia sehemu, na sababu ni nyumba mpya Umeme Bado haujaunganishwa na zero taarifu, ila lengo langu nikitimiza masharti basi niunganishiwe ili niweze kuchezea kwenye units 75 kushuka maana nimesikia ndio kiwango cha juu kuunganishwa na zero taarifu.
Nilikotoka nilikua nimepanga, kwahio hata umeme ni wa share sikuweza ku calculate,
Sasa nitaanza kujitegemea, jee kwa watu wawili
Nikiwasha Fridge, Kupasi nguo asubuhi, Kutumia heater kupasha maji, Natumia jiko la umeme japo mara chache, Taa, Tv, radio, blender, breakfast Maker...
Je naweza fikisha pengine hata kuvuka matumizi ya units 75 kwa mwezi?
Kwa ufupi nina vifaa vingi vya umeme ila vya mara kwa mara ni hivyo, swali langu jee naweza kutumia units 75 kwa mwezi?
NOTE: vifaa vyangu vyote ni energy efficient.
Swali jingine la ziada, vigezo/taratibu za kuunganishiwa zero taarifu vipoje?
Na je katika zero taarifu 1,000tsh = units ngapi?
Upo tarif 1 sio zeroUnit 65.6 kwa elf 8000 mkuu!!? Mbona mie huwa napewa unit 28 kwa elf 10000!!
KaribuShukrani mkuu hapo ninekuelewa
To be more precise, weka power rating ya kila unachokitumia.. Utapigiwa hesabu ya units utakazotumia kwa mweziZa jioni ndugu, nahamia sehemu, na sababu ni nyumba mpya Umeme Bado haujaunganishwa na zero taarifu, ila lengo langu nikitimiza masharti basi niunganishiwe ili niweze kuchezea kwenye units 75 kushuka maana nimesikia ndio kiwango cha juu kuunganishwa na zero taarifu.
Nilikotoka nilikua nimepanga, kwahio hata umeme ni wa share sikuweza ku calculate,
Sasa nitaanza kujitegemea, jee kwa watu wawili
Nikiwasha Fridge, Kupasi nguo asubuhi, Kutumia heater kupasha maji, Natumia jiko la umeme japo mara chache, Taa, Tv, radio, blender, breakfast Maker...
Je naweza fikisha pengine hata kuvuka matumizi ya units 75 kwa mwezi?
Kwa ufupi nina vifaa vingi vya umeme ila vya mara kwa mara ni hivyo, swali langu jee naweza kutumia units 75 kwa mwezi?
NOTE: vifaa vyangu vyote ni energy efficient.
Swali jingine la ziada, vigezo/taratibu za kuunganishiwa zero taarifu vipoje?
Na je katika zero taarifu 1,000tsh = units ngapi?
Not real..!! embu waza hivi, friji used la 300W na Mpya la 1000W, unadhani lipi litakula umeme mwingi within the same time?Mafrige used ndio yanakula umeme mkubwa
Kitu kikishakuwa used ufanisi wake unapungua ikiwa pamoja na matumizi makubwa ya umemeNot real..!! embu waza hivi, friji used la 300W na Mpya la 1000W, unadhani lipi litakula umeme mwingi within the same time?
Diference ya power consumption due to matumizi haiwi kubwa kiasi hicho unachotaka kutuaminisha...Kitu kikishakuwa used ufanisi wake unapungua ikiwa pamoja na matumizi makubwa ya umeme
Hayo mambo hayahitaji nguvu hivi unajua kila kifaa cha umeme kina muda wake wa matumizi muda ukiisha hata ukikikarabati bado kotakuwa na mapungufu na kitaa kipya ni sawa na magari au mitamboDiference ya power consumption due to matumizi haiwi kubwa kiasi hicho unachotaka kutuaminisha...