Ipo vizuri hata ulaji wake wa Marita poa ila ukinyoosha mguu kuanzia 80km/ph inaanza kujiachia pia ipo comfortable sana spear zipo teleToyota crown athlete fuel consumption experience
Mwenye nayo share hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo vizuri hata ulaji wake wa Marita poa ila ukinyoosha mguu kuanzia 80km/ph inaanza kujiachia pia ipo comfortable sana spear zipo tele
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka 200,000.00 unaingia mjini...
Sawa mkuu,ndio maana CC zikawekwa tofauti kwa kila gari.Kwa gari kama Crown Athlete na ukubwa wote ule ukiweka engine ya cc 1500 ya TI unafikiri itaenda..!
Toyota crown athlete fuel consumption experience
Mwenye nayo share hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungejaribu kushare experience yako [emoji23][emoji23][emoji23] ila huu ushauri wako nimeuelewa SanaYani usikubali kupewa ushauri na mtu ambae hata haijui io crown.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu ungejaribu kushare experience yako [emoji23][emoji23][emoji23] ila huu ushauri wako nimeuelewa Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
TI ina cc 1490 sio 1500Sawa mkuu,ndio maana CC zikawekwa tofauti kwa kila gari.Kwa gari kama Crown Athlete na ukubwa wote ule ukiweka engine ya cc 1500 ya TI unafikiri itaenda..!
Mzee baba we kama unahela na gari jmelipenda jilipilue tu...
Ukiiona mazda rx8 ina cc 1300 unaichukulia kizembe sio?
Mkuu hujasoma hesabu? Btw ukisoma gari imeandikwa 2.0 au cc2000 huwa ni 1980 au ukiona 1500cc huwa 1490 n.k