Je mawaziri kufungua miradi isiyo ya sekta yao ni ubunifu au kasi ya awamu ya sita?

Je mawaziri kufungua miradi isiyo ya sekta yao ni ubunifu au kasi ya awamu ya sita?

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
650
Reaction score
1,016
Siku za karibuni kwa wafuatiliaji wa mambo ya ndani ya Nchi na Siasa za Bongo kumekuwa na kasumba ambayo haijazoeleka ya mawaziri kufungua au kukagua miradi isiyo ya sekta anayoisimamia. Ivi karibuni
1. Deo Ndejembi, Waziri wa Ardhi alionekana Msalala Kahama kwenye miradi ya shule iliyopo TAMISEMI.

2. Jerry Silaa, Waziri wa Habari na Mawasiliano kaonekana Singida kwenye miradi ya Maji.

3. Juma Awesso, Waziri wa Maji kaonekana Simiyu akikata utepe kwenye zahanati.

Je huu ni ubunifu wa Serikali yetu au ni kujiongeza kwa mawaziri vijana wa Serikali ya Awamu ya Sita.
 
Ubunifu mbona hata wa darasa la nne A anafaham kuwa hyo ni style mpya..kwani we hujaona hayo ni utekelezaji wa makubaliano ya kikao..japo yanataswila pana.
 
Back
Top Bottom