ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Unaambiwa HV
Kuna wakili uchwara@Scars bado anapinga hata baada mhusika mwenyewe kusemaDaah kuna watu huku mtaani wanatuaminisha uongo sana. Sasa ni bora kaongea yeye mwenyewe
Huyu jamaa niliahidi kumchangia mifuko 20 kwa ajili tu ya ujenzi wa sanamu lake la kumbukumbu. Maana yale maneno yake yataishi kwa miaka mingi.
Lakini utopolo wenye Akili ni wawiliUnaambiwa HV
Ukiwa Kolo , automatically unakua mentally disabled
Usipoteze nguvu mkuu
Kwenye hio interview anae ongea ni Mayele sio msemaji wa timu wala mchambuzi kwanini tukatae kuamini maneno ya mhusika mwenyewe?Siasa za mpira wa bongo huzijui mkuu,, mayele alikuwa kwa mkopo wa miaka miwili yanga na baada ya kufanya vizuri timu yake ikaamua kumuuza jumla kwa pyramids fc
Wenye akili ni ndio hao wanaenda kununua kipa wa daraja la IV anaumia kabla hajaingia uwanjaniLakini utopolo wenye Akili ni wawili
Huko ukoloni ndio hamna hata mojaLakini utopolo wenye Akili ni wawili
Tuache mada iliyoko mezani ni ya Mayele mkuuWenye akili ni ndio hao wanaenda kununua kipa wa daraja la IV anaumia kabla hajaingia uwanjani
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mtu anabishana na mhusika utamweka kwenye group gani?Tuache mada iliyoko mezani ni ya Mayele mkuu
Kama Yikpe vileWenye akili ni ndio hao wanaenda kununua kipa wa daraja la IV anaumia kabla hajaingia uwanjani
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yikpe alicheza huyo nyanda hata golini haja kaa tayari panchaKama Yikpe vile