Je mbali na wanadamu wapo viumbe wengineo walioumbwa na Mungu wanaotakiwa kufunga kwa mujibu wa vitabu vitukufu?

Je mbali na wanadamu wapo viumbe wengineo walioumbwa na Mungu wanaotakiwa kufunga kwa mujibu wa vitabu vitukufu?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Moderator naomba Uzi huu uache ujitegemee lengo lake ni kujifinza

Wadau hamjamboni nyote
?
Napenda kujua kama upo mwongozo wowote ule kiimani au kikanuni kwa mujibu wa Vitabu vitukufu kuhusu kufunga kwa viumbe wengineo zaidi ya binadamu hususani majini.

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu

Niwatakie usiku mwema mbarikiwe sana
 
Moderator naomba Uzi huu uache ujitegemee lengo lake ni kujifinza

Wadau hamjamboni nyote
?
Napenda kujua kama upo mwongozo wowote ule kiimani au kikanuni kwa mujibu wa Vitabu vitukufu kuhusu kufunga kwa viumbe wengineo zaidi ya binadamu hususani majini.

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu

Niwatakie usiku mwema mbarikiwe sana
ndio,MAJINI!!
 
Back
Top Bottom