Je mbinguni ni mahala panatisha kiasi hiki?

Je mbinguni ni mahala panatisha kiasi hiki?

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Najiuliza, je mbinguni ni mahala panatisha kiasi hiki? Kwamba hata watu wanaotufundisha kwamba Mbinguni ni mahala pazuri wanaogopa kwenda?

Kwa mfano, hebu fikiria, Papa mwenye zaidi ya miaka 88, umri wa kutosha kabisa, bado anapambania afya yake na uhai wake hospitalini ili apone. Madaktari bingwa wanakesha usiku na mchana kuokoa maisha ya Papa. Hii yote ni kuhakikisha kwamba Papa haondoki hapa Duniani, bado maisha ya hapa Duniani ni matamu na yenye uhakika zaidi.

Ni wakati muafaka watu mnaoamini hizi dini muanze kujiuliza maswali, kama mbinguni ni kuzuri sana na kutamu, Papa anahangaika nini hospitali ili apone, si angeacha tu afe aende mbinguni akaishi na baba?

Hata wale walioahidiwa mabikra 72 na mito ya pombe pia hawataki kufa, unajiuliza unaachaje watoto wazuri mabikra wenye macho makubwa na maumbile mazuri huko akhera na badala yake unahangaika na flat screen na wapiga mizinga wa hapa Duniani?

Jibu ni moja tu, mbinguni ni hadithi za kutunga zisizo na uhakika wowote, Duniani ndio mahala pekee penye maisha na penye uhakika.
 
Najiuliza, je mbinguni ni mahala panatisha kiasi hiki? Kwamba hata watu wanaotufundisha kwamba Mbinguni ni mahala pazuri wanaogopa kwenda?

Kwa mfano, hebu fikiria, Papa mwenye zaidi ya miaka 88, umri wa kutosha kabisa, bado anapambania afya yake na uhai wake hospitalini ili apone. Madaktari bingwa wanakesha usiku na mchana kuokoa maisha ya Papa. Hii yote ni kuhakikisha kwamba Papa haondoki hapa Duniani, bado maisha ya hapa Duniani ni matamu na yenye uhakika zaidi.

Ni wakati muafaka watu mnaoamini hizi dini muanze kujiuliza maswali, kama mbinguni ni kuzuri sana na kutamu, Papa anahangaika nini hospitali ili apone, si angeacha tu afe aende mbinguni akaishi na baba?

Hata wale walioahidiwa mabikra 72 na mito ya pombe pia hawataki kufa, unajiuliza unaachaje watoto wazuri mabikra wenye macho makubwa na maumbile mazuri huko akhera na badala yake unahangaika na flat screen na wapiga mizinga wa hapa Duniani?

Jibu ni moja tu, mbinguni ni hadithi za kutunga zisizo na uhakika wowote, Duniani ndio mahala pekee penye maisha na penye uhakika.
Tatizo linaanzia kwenye imani. Kwanza mtu anapokufa haendi mbinguni, nadhani hata wewe mtoa mada unafikiria kwamba mtu akifa anakwenda mbinguni, nadhani hizo fikra ndo zimekuvuta kuleta hii mada. Lakini ukweli ni kwamba mtu anapokufa haendi mbinguni bali analala usingizi kaburini.

Ipo siku ambayo Mungu mwenyewe ameiandaa atakapo kuja kuwaamsha/kuwafufua wote waliolala usingizi wa mauti, na kumlipa kila mtu sawa sawa na matendo yake.

Waliolala wakimwamini Mungu watafufuliwa kwa ajili ya uzima wa milele (hawa ndio watachukuliwa kwenda mbinguni katika hiyo siku ya kiama) na wale ambao hawakumwamini Mungu hawatakwenda mbinguni wao watatupwa kwenye ziwa la moto pamoja na shetani.

Rejea: 1 Wakorintho 15:52
Ufunuo 21:6-8


N.B. Kila mtu atapokea ujira wake sawa sawa na matendo yake.
 
Mbinguni ni Kuzuri kwa Mjibu wa Vitabu!
Sema changamoto ni gharama za kuingia huko.
Lazima huu mwili utengane na roho kwa kuwa huu mwili siyo wa mbinguni ni wa udongo! Hapa ndiyo panaogopesha! Mwanadamu anapitia maumivu makali pale mwili unapotengana na roho!.
 
Mbinguni ni Kuzuri kwa Mjibu wa Vitabu!
Sema changamoto ni gharama za kuingia huko.
Lazima huu mwili utengane na roho kwa kuwa huu mwili siyo wa mbinguni ni wa udongo! Hapa ndiyo panaogopesha! Mwanadamu anapitia maumivu makali pale mwili unapotengana na roho!.
Kwenda kwao tu hapo wanataka makorokoro kibao, mara VISA MARA PASSPORT MARA WAKUPIME AFYA

WE HUOGOPI?
 
Najiuliza, je mbinguni ni mahala panatisha kiasi hiki? Kwamba hata watu wanaotufundisha kwamba Mbinguni ni mahala pazuri wanaogopa kwenda?

Kwa mfano, hebu fikiria, Papa mwenye zaidi ya miaka 88, umri wa kutosha kabisa, bado anapambania afya yake na uhai wake hospitalini ili apone. Madaktari bingwa wanakesha usiku na mchana kuokoa maisha ya Papa. Hii yote ni kuhakikisha kwamba Papa haondoki hapa Duniani, bado maisha ya hapa Duniani ni matamu na yenye uhakika zaidi.

Ni wakati muafaka watu mnaoamini hizi dini muanze kujiuliza maswali, kama mbinguni ni kuzuri sana na kutamu, Papa anahangaika nini hospitali ili apone, si angeacha tu afe aende mbinguni akaishi na baba?

Hata wale walioahidiwa mabikra 72 na mito ya pombe pia hawataki kufa, unajiuliza unaachaje watoto wazuri mabikra wenye macho makubwa na maumbile mazuri huko akhera na badala yake unahangaika na flat screen na wapiga mizinga wa hapa Duniani?

Jibu ni moja tu, mbinguni ni hadithi za kutunga zisizo na uhakika wowote, Duniani ndio mahala pekee penye maisha na penye uhakika.
Kwa hiyo wewe habari za Mbinguni umejifunzia kwa Papa?. Papa ndiye mmiliki wa Mbingu?. Kwamba wakina "Papa" ndio SI unit yako ya kuhusu ufalme wa mbinguni?. Kwamba wewe source yako ya kuaminika kuhusu Mbingu ni wakina "Papa"?.
Si ajabu umetoa conclusion hiyo hapo chini kwenye paragraph ya mwisho!. Niseme tu kwamba Kipofu kwa kutumia upofu wake kachagua role model kipofu!
 
Najiuliza, je mbinguni ni mahala panatisha kiasi hiki? Kwamba hata watu wanaotufundisha kwamba Mbinguni ni mahala pazuri wanaogopa kwenda?

Kwa mfano, hebu fikiria, Papa mwenye zaidi ya miaka 88, umri wa kutosha kabisa, bado anapambania afya yake na uhai wake hospitalini ili apone. Madaktari bingwa wanakesha usiku na mchana kuokoa maisha ya Papa. Hii yote ni kuhakikisha kwamba Papa haondoki hapa Duniani, bado maisha ya hapa Duniani ni matamu na yenye uhakika zaidi.

Ni wakati muafaka watu mnaoamini hizi dini muanze kujiuliza maswali, kama mbinguni ni kuzuri sana na kutamu, Papa anahangaika nini hospitali ili apone, si angeacha tu afe aende mbinguni akaishi na baba?

Hata wale walioahidiwa mabikra 72 na mito ya pombe pia hawataki kufa, unajiuliza unaachaje watoto wazuri mabikra wenye macho makubwa na maumbile mazuri huko akhera na badala yake unahangaika na flat screen na wapiga mizinga wa hapa Duniani?

Jibu ni moja tu, mbinguni ni hadithi za kutunga zisizo na uhakika wowote, Duniani ndio mahala pekee penye maisha na penye uhakika.
Kuna mambo mengi huelewi bado.
 
Back
Top Bottom