Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
muda/wakati ukishapita haurudi nyuma.Ng'ombe hazeeki maini bob
Unamaanisha nn?Illuminant the way forward in music's.....
****Unamaanisha nn?
****
MTU anatoa ngoma 1 tu, inawika na kumtoa./
ona harmonise ngoma 2 tu katoka.....!?/
Mbona Blue ni wakitambo? Harmonize ni kwa Vile yuko na waridi(WCB) lazima anukie****
MTU anatoa ngoma 1 tu, inawika na kumtoa./
ona harmonise ngoma 2 tu katoka.....!?/
No no no "BLUE BLUE" ni ngoma aliyo muweka katika sura ya MuzikiHata Blue ni ngoma moja tu iliyomtoa, Mapozi. Nikaja kumsikiliza vizuri labda kwenye wimbo alioimba na Q Chilla na TID. Zilizobaki ni mauzauza maputu
No no no "BLUE BLUE" ni ngoma aliyo muweka katika sura ya Muziki
Unatumia vigezo gani kujua hilo?Nyimbo haito kuwa hit!
Aliyeimba chorus ndio kaharibu wimbo