kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Sijui ili tatizo gani
Kila nikinwa maji mengi
Kikawaida ni lazima mbumbujiko wa maji unatoa sauti tumboni kila ukitembea au kukimbia
Kwangu naona ni tofauti kidogo
Kila nikinwa maji mengi na nikiwa nafanya mazoezi au kutembea ni lazima
Nihisi mbumbujiko wa maji unalia kifuani kwangu upande wa kushota
Ili ni tatizo au nikawaida wanajua waniambie plz
Kila nikinwa maji mengi
Kikawaida ni lazima mbumbujiko wa maji unatoa sauti tumboni kila ukitembea au kukimbia
Kwangu naona ni tofauti kidogo
Kila nikinwa maji mengi na nikiwa nafanya mazoezi au kutembea ni lazima
Nihisi mbumbujiko wa maji unalia kifuani kwangu upande wa kushota
Ili ni tatizo au nikawaida wanajua waniambie plz