Huyu ni Mchezaji mwenye Mafanikio Zaidi Kisoka Tanzania kuliko Wote Waliowahi Kutokea katika nchi Yetu mpaka sasa...!
Issue ya Mzee Wake kufura tumsamehe tu, ndio Wazazi wetu Hawa ,ndio ujue damu huwa mzito kushinda hekima..! Aliongea tu baada ya kuwa evoked na emotions.
Samata tunampenda tu na Msuva aitwe pia