Je,mchambuzi Ramadhani wa Azam tv alitaja 4M$ kama bei ya Mendieta wa Mamelodi?

Je,mchambuzi Ramadhani wa Azam tv alitaja 4M$ kama bei ya Mendieta wa Mamelodi?

Mzingo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
4,729
Reaction score
10,500
Wakati wa uchambuzi wa mechi ya Yanga vs Mamelod, mchambuzi Ramadhani Mbwaduke wa Azam tv alitaja bei ya mchezaji Junior Mendieta kuwa ni $4M. Kwamba hiyo pesa ndiyo iliyotolewa na Mamelod kumnunua.

Nimecheki leo,nimekuta Junior Mendieta alitoka Argentina 2020,akaenda Schellebosch ya South Africa. Baada ya hapo akahamia Mamelod.

Bei zinazotajwa kwenye mitandao ikiwemo Transfer market inachezea 0.6M€ . Haifiki bilioni mbili tsh.

Kuna mwingine aliyemsikia au ni wenge langu?
 
LABDA KWA USHAURI TU MKUU.

Nadhani kujua fedha za usajili, signing on fees, posho na Mishahara ya wachezaji haiwezi kukusaidia kitu chochote kwenye maisha yako.

Labda kama ni Mchezaji ama wakala wa wachezaji.

NINGEKUSHAURI UJIKITE KWENYE KUSOMA UPATE MAARIFA ZAIDI.

kwaheri uhuru kwaheri Ukoloni
 
Wakati wa uchambuzi wa mechi ya Yanga vs Mamelod, mchambuzi Ramadhani Mbwaduke wa Azam tv alitaja bei ya mchezaji Junior Mendieta kuwa ni $4M. Kwamba hiyo pesa ndiyo iliyotolewa na Mamelod kumnunua.

Nimecheki leo,nimekuta Junior Mendieta alitoka Argentina 2020,akaenda Schellebosch ya South Africa. Baada ya hapo akahamia Mamelod.

Bei zinazotajwa kwenye mitandao ikiwemo Transfer market inachezea 0.6M€ . Haifiki bilioni mbili tsh.

Kuna mwingine aliyemsikia au ni wenge langu?
Kiujumla Junior ni overrated player tangu bei mpaka performance yake.
 
LABDA KWA USHAURI TU MKUU.

Nadhani kujua fedha za usajili, signing on fees, posho na Mishahara ya wachezaji haiwezi kukusaidia kitu chochote kwenye maisha yako.

Labda kama ni Mchezaji ama wakala wa wachezaji.

NINGEKUSHAURI UJIKITE KWENYE KUSOMA UPATE MAARIFA ZAIDI.

kwaheri uhuru kwaheri Ukoloni
Mbona povu jingi mkuu. Jamaa kauliza a simple question huna jibu kaa kimya. Nadhani hujui status ya muuliza swali so why assume kwamba simply kwa sababu ame comment kwenye hii forum basi hasomi wala hana kazi ya maana. If that was the case what are you doing here?
Tujaribu kuwa wastaarabu. Football is a social sport. Many people watch or play it simply for entertainment.
Whether one bets or not is his/her choice and money and it is none of your f****ing business.
 
Wakati wa uchambuzi wa mechi ya Yanga vs Mamelod, mchambuzi Ramadhani Mbwaduke wa Azam tv alitaja bei ya mchezaji Junior Mendieta kuwa ni $4M. Kwamba hiyo pesa ndiyo iliyotolewa na Mamelod kumnunua.

Nimecheki leo,nimekuta Junior Mendieta alitoka Argentina 2020,akaenda Schellebosch ya South Africa. Baada ya hapo akahamia Mamelod.

Bei zinazotajwa kwenye mitandao ikiwemo Transfer market inachezea 0.6M€ . Haifiki bilioni mbili tsh.

Kuna mwingine aliyemsikia au ni wenge langu?
Wakati Mendieta anahama kutoka Stellenbosch FC kwenda Mamelodi release clause ilikuwa ni 10m Rand ambayo ni kama US $528000 tu. So hiyo 4m US $ is not realistic.
 
LABDA KWA USHAURI TU MKUU.

Nadhani kujua fedha za usajili, signing on fees, posho na Mishahara ya wachezaji haiwezi kukusaidia kitu chochote kwenye maisha yako.

Labda kama ni Mchezaji ama wakala wa wachezaji.

NINGEKUSHAURI UJIKITE KWENYE KUSOMA UPATE MAARIFA ZAIDI.

kwaheri uhuru kwaheri Ukoloni
Mabadiliko uanza na wewe kaka, badala ya kuhubiri mabadiliko kwa wengine, anza wewe mdogo mdogo wengine watakufata mbele ya safari.
 
LABDA KWA USHAURI TU MKUU.

Nadhani kujua fedha za usajili, signing on fees, posho na Mishahara ya wachezaji haiwezi kukusaidia kitu chochote kwenye maisha yako.

Labda kama ni Mchezaji ama wakala wa wachezaji.

NINGEKUSHAURI UJIKITE KWENYE KUSOMA UPATE MAARIFA ZAIDI.

kwaheri uhuru kwaheri Ukoloni
Wewe usha rukwa akili kusoma bila kua mdadisi unasoma iliweje? moja ya sifa za mtu anaesoma ni uwezo wa Ku reason
 
Back
Top Bottom