Weka huo umajinuni wake anaoufanya huko India 🇮🇳Ni pastor mkubwa wa kanisa kubwa la kilokole kule Nigeria linaitwa deeper life, anasifika kwa kuhuburi injili ya utakatifu, na kuishi maisha matakatifu, mwanzoni kulingana na baadhi ya shuhuda za watu inasemekana yeye ni mtumishi wa kweli wa Mungu, ila siku hizi mbili tatu nimeona picha zake mtandaoni alivyo kule India na watu anao Anza ku- associate nao, mmh
Sina uhakika sana na online media news, Kama ni kweli ameanguka, mmh Nimeshangaa
mapastor wengi siku hizi wamepoa sana ili hali mwanzo walikuwa moto mkali. Ukiwauliza imekuaje wamepoa wanakujibu Mungu tu ndiye atakayehukumu.Ni pastor mkubwa wa kanisa kubwa la kilokole kule Nigeria linaitwa deeper life, anasifika kwa kuhuburi injili ya utakatifu, na kuishi maisha matakatifu, mwanzoni kulingana na baadhi ya shuhuda za watu inasemekana yeye ni mtumishi wa kweli wa Mungu, ila siku hizi mbili tatu nimeona picha zake mtandaoni alivyo kule India na watu anao Anza ku- associate nao, mmh
Sina uhakika sana na online media news, Kama ni kweli ameanguka, mmh Nimeshangaa
Tutaaminije hii habari bila picha, au ni umbea tu umetoka nao huko kwenye vikobaNi pastor mkubwa wa kanisa kubwa la kilokole kule Nigeria linaitwa deeper life, anasifika kwa kuhuburi injili ya utakatifu, na kuishi maisha matakatifu, mwanzoni kulingana na baadhi ya shuhuda za watu inasemekana yeye ni mtumishi wa kweli wa Mungu, ila siku hizi mbili tatu nimeona picha zake mtandaoni alivyo kule India na watu anao Anza ku- associate nao, mmh
Sina uhakika sana na online media news, Kama ni kweli ameanguka, mmh Nimeshangaa
Mahubiri yake yote tangu mwanzo ni kwenye kuishi maisha ya utakatifu Saint Anno IISimjui lakini kama alikuwa anahubiri sana mambo ya kidunia kwa waumini wake kama mafanikio ya mali kazi ndoa miujiza etc juwa mission yake imekamilika sasa anakaa anakula alivyochuma.
Wahubiri wanaokaza sana kuhubiri mafanikio ya kidunia bila kutoa maonyo ya dhambi wengi ni wapigaji wapo kukusanya sadaka za mafala lengo likitimia wanarudi kwenye maisha yao halisi.
Naunga mkono hojaDunia ya sasa habari bila picha video/video clip sw n takataka TU sawa
Hao watu wana shida gani mkuu hadi utilie mashaka utumishi wa huyo faza?
Hizi picha zina tatizo gani? Akili yangu imegoma kuvumbua kitu. Hao alio nao wana tatizo gani?
Thread Hii Imekosa Uhalali Kuwa HapaDunia ya sasa habari bila picha video/video clip sw n takataka TU sawa
Kusikiliza mziki wa nitongoze alioimba diamond na rayvanny kuna tatizo gani? Kuangalia filamu ya prison break, game of thrones, kusikiliza miziki ya Jay z, Rihanna na Celine Dion kuna tatizo gani? DemiHizi picha zina tatizo gani? Akili yangu imegoma kuvumbua kitu. Hao alio nao wana tatizo gani?
kwa mwongofu haifai kusikiliza miziki ya kidunia.Kusikiliza mziki wa nitongoze alioimba diamond na rayvanny kuna tatizo gani? Kuangalia filamu ya prison break, game of thrones, kusikiliza miziki ya Jay z, Rihanna na Celine Dion kuna tatizo gani? Demi