Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Shalom,
Kazi ya uzushi ya kubweka, kubwaka na kubwata vyataka ule ushibe
Nimewaza kuhusu kauli za mchungaji Msigwa hasa juu ya tuhuma za Mbowe kuwa fisadi na Chadema kuwa Mali binafsi ya Mbowe.
Tangu kitambo Chadema ni Mali ya Mzee Mtei ambayo sasa iko chini ya Mbowe na familia pamoja na wachagga wenzake na vidagaa vya ukaskazi.
Wanaojua Chadema nafasi nyingi muhimu na wenye sauti za maamuzi ni wachagga na machawa wachache toka mikoa mingine na ambao wanakula kimpango kazi.
Ni muhimu ikafahamika ya kwamba Ndugu Mchungaji Msigwa ambae sasa amerudi CCM akiwa hana mkia ana kazi kubwa ya kufanya ili kunawa ukungu wote.
Kwa sasa ndugu Mchungaji Msigwa ufukara na tamaa ndio vimemleta huku kwetu CCM.
Mchungaji Msigwa asie na mkia kwa sasa ni lopo lopo na CCM ni dude kubwa atapauka sana kwa tamaa zake za mamba.
Mchungaji Msigwa akae kwa kutulia ili aoteshe mkia wake safari yake ni ndefu sana.
Mkosa mkia hupata kubweka, kubwata na kubwaka.
Ni hayo tu
Wadiz
Kazi ya uzushi ya kubweka, kubwaka na kubwata vyataka ule ushibe
Nimewaza kuhusu kauli za mchungaji Msigwa hasa juu ya tuhuma za Mbowe kuwa fisadi na Chadema kuwa Mali binafsi ya Mbowe.
Tangu kitambo Chadema ni Mali ya Mzee Mtei ambayo sasa iko chini ya Mbowe na familia pamoja na wachagga wenzake na vidagaa vya ukaskazi.
Wanaojua Chadema nafasi nyingi muhimu na wenye sauti za maamuzi ni wachagga na machawa wachache toka mikoa mingine na ambao wanakula kimpango kazi.
Ni muhimu ikafahamika ya kwamba Ndugu Mchungaji Msigwa ambae sasa amerudi CCM akiwa hana mkia ana kazi kubwa ya kufanya ili kunawa ukungu wote.
Kwa sasa ndugu Mchungaji Msigwa ufukara na tamaa ndio vimemleta huku kwetu CCM.
Mchungaji Msigwa asie na mkia kwa sasa ni lopo lopo na CCM ni dude kubwa atapauka sana kwa tamaa zake za mamba.
Mchungaji Msigwa akae kwa kutulia ili aoteshe mkia wake safari yake ni ndefu sana.
Mkosa mkia hupata kubweka, kubwata na kubwaka.
Ni hayo tu
Wadiz