johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa 2015 Lowassa alipunguza kura za CCM na hivyo CHADEMA kufaidika.
Mwaka huu ACT wazalendo ina mgombea urais mwenye nguvu zaidi ya yule wa 2015 naye akitokea CCM mh Bernad Membe.
Tunajua kwa rekodi ya 2015 CCM tayari ina mtaji wa kura zaidi ya milioni 8 na CHADEA ina zaidi ya milioni 6 lakini wapiga kura wa mwaka huu 2020 ni milioni 29 na ushee.
Je, uwepo wa Membe kwenye ballot paper utaiumiza CCM au CHADEMA?
Maendeleo hayana vyama!
Mwaka huu ACT wazalendo ina mgombea urais mwenye nguvu zaidi ya yule wa 2015 naye akitokea CCM mh Bernad Membe.
Tunajua kwa rekodi ya 2015 CCM tayari ina mtaji wa kura zaidi ya milioni 8 na CHADEA ina zaidi ya milioni 6 lakini wapiga kura wa mwaka huu 2020 ni milioni 29 na ushee.
Je, uwepo wa Membe kwenye ballot paper utaiumiza CCM au CHADEMA?
Maendeleo hayana vyama!