1. Hatopata kura nyingi. Kama ilivyokuwa kipindi cha CUF huko nyuma, atapata kura nyingi kusini. Awamu ya pili ya JK, Slaa alimzidi JK japo kura nyingi za kusini zilienda kwa Lipumba.
2. Kura za Membe zinapunguza kote kwa Tundu Lissu na kwa Magufuli. Ila Lissu upande wa Lindi na Mtwara atapata kura nyingi kumzidi Magufuli, sababu ya sinema ya korosho.
3. Mikoa mingine yote iliyobaki, Tundu Lissu atamzidi Magufuli.
4. Upande wa Zanzibar, ACT wanfuata Maalim anasema nini. Unguja kura zao nyingi zitaenda kwa Lissu. Hivyo upande wa ZNZ Lissu na Membe watapata kura nyingi kuliko Magufuli.
5. Kitaifa, mshindi wa kwanza atakuwa Tundu Lissu, wa pili Magufuli, wa tatu Membe.
6. Tume itatangaza kwamba mshindi ni Magufuli.