mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Habari za asubuhi hii wanabodi.
Nimejaribu kufikiri kwa sauti kuwa Messi huwa anafanya Mambo kimya kimya.
Kwa kuzingatia hilo na yeye kugoma kusaini mkataba mpya na Barcelona inadhihirisha huenda akawa na agenda ya Siri, siku akifanikiwa kuchukua Copa di America basi atatangaza kustaafu alafu baada ya hayo na CR7 nae ndani ya 2 years nae atastaafu.
Nimejaribu kufikiri kwa sauti kuwa Messi huwa anafanya Mambo kimya kimya.
Kwa kuzingatia hilo na yeye kugoma kusaini mkataba mpya na Barcelona inadhihirisha huenda akawa na agenda ya Siri, siku akifanikiwa kuchukua Copa di America basi atatangaza kustaafu alafu baada ya hayo na CR7 nae ndani ya 2 years nae atastaafu.