kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 717
Wanasheria Yamemkuta Ndugu Yangu Muajiriwa wa zamani wa Tanroads Pwani, alifukuzwa kazi kwa makosa yasiyo na kichwa wala kutofuata taratibu akafungua shauri CMA kibaha mwaka unaisha sasa , sasa wakiwa kwenye stage za mwisho baada ya upande wa pili kumaliza kutoa ushahidi wake mlalamikiwa(Tanroads Pwani) ameweka pingamizi (P.O) akisema the case is prematurely before this honorable commission as the complainant being a civil servant under one of The Government Agency was supposed to exhaust all local remedies ...so the case was supposed to be in tume ya utumishi wa uma ikishindikana ndio CMA
Naombeni position ya sheria kwenye hili
kina
Petro Mselewa
Dragoon
Soskeneth
Na wengine wote wataalamu wa sheria
Naombeni position ya sheria kwenye hili
kina
Petro Mselewa
Dragoon
Soskeneth
Na wengine wote wataalamu wa sheria