Je, mfumo wa kuwachangia hela waliokosea sio njia mpya ya mapato ya CHADEMA?

Je, mfumo wa kuwachangia hela waliokosea sio njia mpya ya mapato ya CHADEMA?

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Wakuu kwema,

Huu mtindo mpya wa CHADEMA kuchangia hela watu wenye kesi mbalimbali unaenda kuota mizizi

Huyu kijana kwa mfano aliyechoma picha ya Raisi, , awali huyu dogo me nilikuwa nifatilia video zake za tictock akimtukana Rais na kuchoma picha zake, hio sio shida.

Kilichonipa attention zaidi ni yeye kujitapa kuwa hawawezi kumfanya chochote huku akiwapa location yao. Mbali na hilo amekamatwa wakati mwanzo alisema analindwa.

Kama hio haitoshi bado jamaa anacheka tu hata baada ya kukamatwa. Muda mchache baadae linapitishwa bakuli tumchangie dogo asifungwe.

Je, hii haitoshi kusema kuwa alitumwa kufanya hivyo na wanaochangisha hela?

Alipaswa kuachwa ajifunze ku behave, Chadema kama chama ambacho kina unfinished business nyingi si jukumu lao kuwakingia mgongo watu wanao misbehave kiasi hicho. Kuchoma picha na Chadema kunahusiana aje.

Baada ya hapo tutasikia kesi ya vijana wengine tena bila hoja yoyote wanaitukana serikali , kisha wanakamatwa wanachangiwa hela.

Tanzania inahitaji vijana wenye akili wa kuikosoa serikali kwa hoja na kuwaelimisha watanzania wengine kuhusu mambo yasiyo sawa kwenye serikali, nchi ambayo watu hawajui hata finance bill ni nini, huwezi kuishawishi kwa kutukana viongozi na kuchoma picha zao.
 
Hiyo tabia mbaya hawawezi kuacha, ni uraibu mbaya sana kuachana nao, zaidi sana wataporomosha matusi tue🤣

Kuomba omba kuchangiwa pesa ndio image ya hicho chama, ndio utambulisho wao kwa jamii kwa sasa 🐒
 
Hata kama ni wewe mleta mada fikiria wewe ni Mbowe unamiliki kundi kubwa la nyumbu ambao akili zao wamekukabidhi utafanya nini zaidi ya kuhakikisha wanasalimisha hela zao kwako? Sema nyumbu nao kwenye mchango wa V8 ya Lissu wamezingua sana... wanachanga kidogo kidogo sana. Mbowe awakemee
 
Wewe mleta Uzi ndo unaona ana misbehave kutoka na mtazamo wako hatukupingi kuwa chawa, Mwache nae asimame upande wake wa kukosoa , wewe endelea kuwa chawa Kila mmoja na mtazamo wake
 
Wakuu kwema.
Huu mtindo mpya wa CHADEMA kuchangia hela watu wenye kesi mbalimbali unaenda kuota mizizi

Huyu kijana kwa mfano aliyechoma picha ya Raisi, , awali huyu dogo me nilikuwa nifatilia video zake za tictock akimtukana Rais na kuchoma picha zake, hio sio shida.
Kilichonipa attention zaidi ni yeye kujitapa kuwa hawawezi kumfanya chochote huku akiwapa location yao.
Mbali na hilo amekamatwa wakati mwanzo alisema analindwa.
Kama hio haitoshi bado jamaa anacheka tu hata baada ya kukamatwa.
Muda mchache baadae linapitishwa bakuli tumchangie dogo asifungwe.

Je hii haitoshi kusema kuwa alitumwa kufanya hivyo na wanaochangisha hela ?

Alipaswa kuachwa ajifunze ku behave , Chadema kama chama ambacho kina unfinished business nyingi si jukumu lao kuwakingia mgongo watu wanao misbehave kiasi hicho.
Kuchoma picha na Chadema kunahusiana aje.
Baada ya hapo tutasikia kesi ya vijana wengine tena bila hoja yoyote wanaitukana serikali , kisha wanakamatwa wanachangiwa hela.

Tanzania inahitaji vijana wenye akili wa kuikosoa serikali kwa hoja na kuwaelimisha watanzania wengine kuhusu mambo yasiyo sawa kwenye serikali, nchi ambayo watu hawajui hata finance bill ni nini, huwezi kuishawishi kwa kutukana viongozi na kuchoma picha zao
Hao wanao chana walisha wahi kulalamika? ENdelea kulamba miguu watawala make hio ndio kazi ilio kuketa Duniani.
 
Tanzania inahitaji vijana wenye akili wa kuikosoa serikali kwa hoja na kuwaelimisha watanzania wengine kuhusu mambo yasiyo sawa kwenye serikali,
Shida ni kwamba njia hii ikitumika hawasikii, na walisha sema mara kadhaa hawajishugulishi kusikia.
Zinapotumika njia kama za huyo kijana walao wasika hata kama hawakutaka kusikia.
 
Wakuu kwema,

Huu mtindo mpya wa CHADEMA kuchangia hela watu wenye kesi mbalimbali unaenda kuota mizizi

Huyu kijana kwa mfano aliyechoma picha ya Raisi, , awali huyu dogo me nilikuwa nifatilia video zake za tictock akimtukana Rais na kuchoma picha zake, hio sio shida.

Kilichonipa attention zaidi ni yeye kujitapa kuwa hawawezi kumfanya chochote huku akiwapa location yao. Mbali na hilo amekamatwa wakati mwanzo alisema analindwa.

Kama hio haitoshi bado jamaa anacheka tu hata baada ya kukamatwa. Muda mchache baadae linapitishwa bakuli tumchangie dogo asifungwe.

Je, hii haitoshi kusema kuwa alitumwa kufanya hivyo na wanaochangisha hela?

Alipaswa kuachwa ajifunze ku behave, Chadema kama chama ambacho kina unfinished business nyingi si jukumu lao kuwakingia mgongo watu wanao misbehave kiasi hicho. Kuchoma picha na Chadema kunahusiana aje.

Baada ya hapo tutasikia kesi ya vijana wengine tena bila hoja yoyote wanaitukana serikali , kisha wanakamatwa wanachangiwa hela.

Tanzania inahitaji vijana wenye akili wa kuikosoa serikali kwa hoja na kuwaelimisha watanzania wengine kuhusu mambo yasiyo sawa kwenye serikali, nchi ambayo watu hawajui hata finance bill ni nini, huwezi kuishawishi kwa kutukana viongozi na kuchoma picha zao.

Ndio maana kuna Mawakili ambao huweza kukutetea haki zako hata kama umekosea.

Ndio maana kuna Madaktari ambao hukutibu ata kama ulifanya uzembe wa makusudi kupata ugonjwa.

Kwa Wakristo wanaamini kuwa Yesu alikuja kufa kwaajili ya wanao-misbehave iwe kimakusudi au bila kukusudia

Kwa upande wa Chadema kutumia hiyo kama sehemu ya kujiingizia kipato hiyo sio shida.
Ni kama harambee tuu. Kinachobaki inakuwa sehemu ya malipo kwa watakaoendesha shughuli hiyo
 
Wakuu kwema,

Huu mtindo mpya wa CHADEMA kuchangia hela watu wenye kesi mbalimbali unaenda kuota mizizi

Huyu kijana kwa mfano aliyechoma picha ya Raisi, , awali huyu dogo me nilikuwa nifatilia video zake za tictock akimtukana Rais na kuchoma picha zake, hio sio shida.

Kilichonipa attention zaidi ni yeye kujitapa kuwa hawawezi kumfanya chochote huku akiwapa location yao. Mbali na hilo amekamatwa wakati mwanzo alisema analindwa.

Kama hio haitoshi bado jamaa anacheka tu hata baada ya kukamatwa. Muda mchache baadae linapitishwa bakuli tumchangie dogo asifungwe.

Je, hii haitoshi kusema kuwa alitumwa kufanya hivyo na wanaochangisha hela?

Alipaswa kuachwa ajifunze ku behave, Chadema kama chama ambacho kina unfinished business nyingi si jukumu lao kuwakingia mgongo watu wanao misbehave kiasi hicho. Kuchoma picha na Chadema kunahusiana aje.

Baada ya hapo tutasikia kesi ya vijana wengine tena bila hoja yoyote wanaitukana serikali , kisha wanakamatwa wanachangiwa hela.

Tanzania inahitaji vijana wenye akili wa kuikosoa serikali kwa hoja na kuwaelimisha watanzania wengine kuhusu mambo yasiyo sawa kwenye serikali, nchi ambayo watu hawajui hata finance bill ni nini, huwezi kuishawishi kwa kutukana viongozi na kuchoma picha zao.
Tuwekee hapa ushahidi wa Chadema kutoa tangazo la kuchangia wahalifu vinginevyo futa huu upuuzi wako. Kwa vile Dr. Nawanda kada mwandamizi wa CCM amefira mwanafunzi basi tujumuishe kuwa CCM ni Chama Cha Mashoga?
 
Mleta hoja ni bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako!
Kuna sehemu CDM wamesema wanachangisha michango?
Hivi kwanini vijana wa ccm mnakuwa kama hamnazo
 
Wakuu kwema,

Huu mtindo mpya wa CHADEMA kuchangia hela watu wenye kesi mbalimbali unaenda kuota mizizi

Huyu kijana kwa mfano aliyechoma picha ya Raisi, , awali huyu dogo me nilikuwa nifatilia video zake za tictock akimtukana Rais na kuchoma picha zake, hio sio shida.

Kilichonipa attention zaidi ni yeye kujitapa kuwa hawawezi kumfanya chochote huku akiwapa location yao. Mbali na hilo amekamatwa wakati mwanzo alisema analindwa.

Kama hio haitoshi bado jamaa anacheka tu hata baada ya kukamatwa. Muda mchache baadae linapitishwa bakuli tumchangie dogo asifungwe.

Je, hii haitoshi kusema kuwa alitumwa kufanya hivyo na wanaochangisha hela?

Alipaswa kuachwa ajifunze ku behave, Chadema kama chama ambacho kina unfinished business nyingi si jukumu lao kuwakingia mgongo watu wanao misbehave kiasi hicho. Kuchoma picha na Chadema kunahusiana aje.

Baada ya hapo tutasikia kesi ya vijana wengine tena bila hoja yoyote wanaitukana serikali , kisha wanakamatwa wanachangiwa hela.

Tanzania inahitaji vijana wenye akili wa kuikosoa serikali kwa hoja na kuwaelimisha watanzania wengine kuhusu mambo yasiyo sawa kwenye serikali, nchi ambayo watu hawajui hata finance bill ni nini, huwezi kuishawishi kwa kutukana viongozi na kuchoma picha zao.
Ehee! Kumbe unajua kosa la SATIVA tuambie basi.
 
Back
Top Bottom