ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Habari za saa members wote.
Nina swali lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu.
SWALI:
1. Je, mikataba inayo saini serikali na nchi za nje au makampuni ya ndani na ya nje ina pitia bungeni kujadiliwa ?
i, Kama jibu ni hapana, kwa nini haipiti katika bunge kujadiliwa ?
ii,Je, sheria za nchi zinasemaje kuhusu hili suala ?
Karibuni nyote.
Nina swali lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu.
SWALI:
1. Je, mikataba inayo saini serikali na nchi za nje au makampuni ya ndani na ya nje ina pitia bungeni kujadiliwa ?
i, Kama jibu ni hapana, kwa nini haipiti katika bunge kujadiliwa ?
ii,Je, sheria za nchi zinasemaje kuhusu hili suala ?
Karibuni nyote.