Je, milioni nane inaweza tosha kufungua grocery kwa Dar es salaam?

Je, milioni nane inaweza tosha kufungua grocery kwa Dar es salaam?

Funguo, iitw JamiiPub walevi tupo..


PXL_20240811_125616510.jpg
 
Nipe mawazo kama hiyo capital inatosha boss

1. Mafriji Mawili (au Friji na Friza) = 1.7m

2. Music/Sub woofer 0.5m

3. Viti vya wateja na counter 2m

4. TV na Ving'amuzi 1.6m

5. Decorations 1m

6. Mtaji wa vinywaji 3m

7. Muweke mtu wa chips atakulipa kodi

8. Kodi ya miezi 6 tufante 2.5m

Total = approx 12m


Haya anza kupunguza kidogo kidogo hapo hafi ifike budget yako ya Mil 7.
 
1. Mafriji Mawili (au Friji na Friza) = 1.7m

2. Music/Sub woofer 0.5m

3. Viti vya wateja na counter 2m

4. TV na Ving'amuzi 1.6m

5. Decorations 1m

6. Mtaji wa vinywaji 3m

7. Muweke mtu wa chips atakulipa kodi

8. Kodi ya miezi 6 tufante 2.5m

Total = approx 12m


Haya anza kupunguza kidogo kidogo hapo hafi ifike budget yako ya Mil 7.
Asante sana
 
KULIMA MPUNGA- GEITA IPO
KUKODI SHAMBA HEKALI 1 =200000
KUKATUA 50000 KULUDIA 50000 KUPANDA 50000 KUPALILIA 50000 MBOLEA YA SERIKALI KUPANDIA DUP 72000 KUVUNIWA 50000 KUPIGA JUNIA 2000 MAKADIRIO YA CHINI 18 MARANYINGI TUNAVUNIA 65000 BAADA YA MIEZI 4 UNAKUWA 100000 KILA JUNIA
 
KULIMA MPUNGA- GEITA IPO
KUKODI SHAMBA HEKALI 1 =200000
KUKATUA 50000 KULUDIA 50000 KUPANDA 50000 KUPALILIA 50000 MBOLEA YA SERIKALI KUPANDIA DUP 72000 KUVUNIWA 50000 KUPIGA JUNIA 2000 MAKADIRIO YA CHINI 18 MARANYINGI TUNAVUNIA 65000 BAADA YA MIEZI 4 UNAKUWA 100000 KILA JUNIA
Ni maeneo gani hayo mashamba hupatikana
 
Back
Top Bottom