Double K
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 907
- 342
Hi, nimeulizwa hili swali / kitendawili ila nimekosa naombeni jibu please.
Mimi ni wa kwanza dunuani na wapili mbinguni, huwa natokea na kuonekana mara mbili kwa wiki lakini waweza kuniona mara moja tu kwa mwaka, japokuwa nipo katikati ya bahari, JE MIMI NI NANI?
Mimi ni wa kwanza dunuani na wapili mbinguni, huwa natokea na kuonekana mara mbili kwa wiki lakini waweza kuniona mara moja tu kwa mwaka, japokuwa nipo katikati ya bahari, JE MIMI NI NANI?