Habari wapendwa. Kama kawaida sisi mitaani kwetu tunaendelea kuchukua hatua madhubuti dhidi ya wenyeviti waliopachikwa. Sisi hatupigi mtu, isipokuwa yeye mwenyewe anaamua kuachia ngazi.
Njia tunazotumia ni pamoja na:-
1. Kila tunapokutana nao tunawaita "VIBAKA".
2. Kila tunapokutana nao tunawazomea.
3. Nakadhalika.
Hii imesaidia sana na itasaidia sana wakati ujao.
Mpaka sasa wenyeviti 3 wameomba kuachia ngazi na wawili hawaendi hata ofisini kwa kuona haya.
Nyie mmefanya nini?
Maana tusibaki tu kulalamika bila kuchukua hatua tunazoziweza.
Njia tunazotumia ni pamoja na:-
1. Kila tunapokutana nao tunawaita "VIBAKA".
2. Kila tunapokutana nao tunawazomea.
3. Nakadhalika.
Hii imesaidia sana na itasaidia sana wakati ujao.
Mpaka sasa wenyeviti 3 wameomba kuachia ngazi na wawili hawaendi hata ofisini kwa kuona haya.
Nyie mmefanya nini?
Maana tusibaki tu kulalamika bila kuchukua hatua tunazoziweza.